- Thread starter
- #21
Sasa wewe mama mbona upendo zero? huku chini umeweka eti pendaneni kama vile nilivyowapenda. Huyu ni kiongozi mstaafu bado ni kioo cha Taifa kama anafanya vyema ni heshima kwa Taifa pia.So what!!??
Kwani zama hizo akiwa tensi alkua kalazimishwa!!??
Halafu......Kakutuma uje utuambie???