Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Hakuna haja ya kujua alipo tunachoshukuru alibwagwa hovyo, hata hivyo lazima ajifiche mahali aibu ipungue pungue; kwa kweli mimi sijui alipo ila kwa hakika kwa majigambo aliyokuwa nayo lazima yupo na aibu sana kwa sasa.