Mh. Masha jana alikuwa mgeni mjengoni na mara baada ya kutambulishwa ukumbi mzima ulizizima kwa makofi na kushangilia kwa dakika zaidi ya 5. The guy bado anakubalika sana, mwenyewe nimekiri sasa
Cha ajabu ni kwamba mwishowe na wewe unalipuka!!Huu ukumbi kwa kulipuka, we acha tu
Chenge akikohoa ukumbi unalipuka
Lowassa akibweka ukumbi unalipuka
Kikwete akicheka ukumbi unalipuka
Pinda akilia ukumbi unalipuka
Sita akipiga chafya ukumbi unalipuka
Mwakyembe akiguna ukumbi unalipuka
Komba akikoroma ukumbi unalipuka
CCM ikichafua hewa ukumbi unalipuka
Ukumbi kulipuka ? Cha ajabu nini !
Nikilipuka kwa upuuzi kama huo wa Wabunge wa CCM nigeuke jiwe.Cha ajabu ni kwamba mwishowe na wewe unalipuka!!
Najua Wenje ni mbunge but who/what the hell is Masha ?It was so nice of him witnessing Wenje being kicked away out of the house,,,, what a wonderful moment!
Umekosa thread za kuweka mezani? au upo humu ukumbini kwa ajili ya kuwapamba baadhi ya watu? kama huna la kuelezea jamii kaa kimya.Mh. Masha jana alikuwa mgeni mjengoni na mara baada ya kutambulishwa ukumbi mzima ulizizima kwa makofi na kushangilia kwa dakika zaidi ya 5. The guy bado anakubalika sana, mwenyewe nimekiri sasa
Mh. Masha jana alikuwa mgeni mjengoni na mara baada ya kutambulishwa ukumbi mzima ulizizima kwa makofi na kushangilia kwa dakika zaidi ya 5. The guy bado anakubalika sana, mwenyewe nimekiri sasa
namshauri tu aombe hansard atulie na kuyasikiliza tena hayo makofi (kwa hisani ya mrisho mpoto).Mh. Masha jana alikuwa mgeni mjengoni na mara baada ya kutambulishwa ukumbi mzima ulizizima kwa makofi na kushangilia kwa dakika zaidi ya 5. The guy bado anakubalika sana, mwenyewe nimekiri sasa
wako watakaolia piaHata Rostam akienda huko ukumbini say kwa kisingizio cha kuaga, wabunge wa CCM watalipuka tu!!! usifanye mchezo na mihemko na n..ge mshindo!!!
Mh. Masha jana alikuwa mgeni mjengoni na mara baada ya kutambulishwa ukumbi mzima ulizizima kwa makofi na kushangilia kwa dakika zaidi ya 5. The guy bado anakubalika sana, mwenyewe nimekiri sasa
labda ndiyo maana walilipuka wakijua karudisha vitasa alivyoviibaHuyu bwana si ndiye alingoa vitasa akabeba mapazia na vifaa kadhaa kutoka katika ofisi zake za zamani za wizara ya ndani baada ya kubwagwa na mh. Wenje.Hayo aliyafanya baada ya kubaini kuwa uwaziri ameutema.. Walinzi mjengoni kaeni chonjo na wageni wa aina ya Masha uwezi kujua ataondoka na nini.
Huyu bwana si ndiye alingoa vitasa akabeba mapazia na vifaa kadhaa kutoka katika ofisi zake za zamani za wizara ya mambo ya ndani baada ya kubwagwa na mh. Wenje.Hayo aliyafanya baada ya kubaini kuwa uwaziri ameutema.. Walinzi mjengoni kaeni chonjo na wbageni wa aina ya Masha uwezi kujua ataondoka na nini.
Salimia na thread za Masha sijui unatumwa ndugu. Kila siku Masha mwambie akuchumbie kabisa.