TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,873
- 11,252
ni comment yangu mkuu....Mkuu, siamini kama huuu ndio ushauri unaoweza kutoka kwako, nadhani hujaisoma vizuri comment yako, hebu i-review!!
sometimes we have to take a mickey out of the situation hadi tujue kama aliweka yeye au la; pia ni vizuri kupata facts kwani bongo waweza zushiwa chochote
KUMBUKA KUNA MTU ALISEMA MASHA KAKIMBILIA MAREKANI NA NAFASI YAKE IMMMA KAMUACHIA MTOTO WA KARUME