Hakuna mwanaccm mwenye akili timamu anayeweza kwenda kusikiliza upuuzi, ila tushinda Igunga na chaguzi zote zinazotukabili kwasababu kuu tatu
1. Rushwa itafanya kazi yake, hili ni jambo ambalo CCM tunalimudu sana hatuna sera za kuuza kwa wanachi
2. Kile chama ambacho kinajidai cha upinzani ( CUF) kipo sio kugombania ubunge bali kipo kugawanya kura za upinzani
3. CCM kwa kushirikiana na vyombo vya dola yaani jeshi, polisi na idara ya usalama wa Taifa vitafanikisha kwa hali na mali kuhakikisha uchaguzi si huru na wa haki.
Chama
Gongo la Mboto DSM.
1. Rushwa itafanya kazi yake, hili ni jambo ambalo CCM tunalimudu sana hatuna sera za kuuza kwa wanachi
2. Kile chama ambacho kinajidai cha upinzani ( CUF) kipo sio kugombania ubunge bali kipo kugawanya kura za upinzani
3. CCM kwa kushirikiana na vyombo vya dola yaani jeshi, polisi na idara ya usalama wa Taifa vitafanikisha kwa hali na mali kuhakikisha uchaguzi si huru na wa haki.
Chama
Gongo la Mboto DSM.