yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
nimepita ofisi ofisi nyingi sana lakini masekretari (reception)pale getin ni balaa dharau tupu,haswa dada mmojo mweupe ,mtotot lakini dharau tupu.Unaweza kuuliza swali tu la jibu dogo asikujibu eti hadi amalize shughuli zake au asikujibu,au akupe jibu la kijinga.wanakaa kubonyezana vijicho wanapoona mavazi ya masista wenzao na ujingakibao.acheni hizo!