Godwin Mneng'ene
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 215
- 84
Huyu Masauni inajulikana kabisa aligushi umri ili agombee uenyekiti wa UVCCM; ninavyofahamu mimi kughushi ni kosa la jinai, mbona huyu jamaa hajafikishwa mahakamani kutokana na kosa hili au ndio kuna watu hapa Tanzania wapo juu ya sheria?
Hii si sawa kabisa huyu jamaa lazima afikishwe kwenye vyombo vya sheria kwa kosa hili.
Hii si sawa kabisa huyu jamaa lazima afikishwe kwenye vyombo vya sheria kwa kosa hili.