katika kubadilisha channel za tv nimepitia channel ten na mzee wa upako yuko hewani. Kwenye background screen naona alama ya pembe tatu kwa rangi ya blue kama hii ya freemasons. Mzee wa upako kama upo humu ndani nifafanulie maana ni wewe pekee uliye na jibu la dukuduku yangu.
sina uhakika juu ya uhusiano kati ya mzee wa upako na bendera ya taifa teulebendera ya taifa teule
Yawezekana ikawa kwel mana wabongo kwa kutaka vyakirahis ni wepes,bt satan hatawamaliza