Masaibu ya mabossi

PRECIOUSDOE

Senior Member
Feb 3, 2009
114
12
Recently nimepata promotion nikakwenda department nyingine.Aliyekuwa bossi wangu ambaye
nilimuheshimu sana kama baba yangu akanipigia simu akiniambia twende lunch.Tulipoenda lunch akanieleza kwamba tangu mwanzo miaka minne iliyo pita amekuwa akinitamani lakini kwa sababu alikuwa direct boss wangu hangeweza nieleza eti amekuwa akivumilia tuu lakini nilipotoka chini yake hawezi akanificha tena eti alikuwa amebeba mzigo mzito.Niliudhika sana kwa sababu nilivyo mheshimu huyu mtu.
Yaani nilikuwa ninarelate naye kama baba so nikahisi nikama baba yangu anataka mapenzi.
Huyu mtu ni mkuu wangu miaka ishirini ana bibi na watoto,na pia mimi nimeolewa.
Yote hayo anayajua.Sikuweza hata mwambia chochote kwa sababu ya aibu niliyo iskia nilitoka nikaenda zangu na nimekuwa nikimu avoid.Kwenye kazi yangu mpya tunafanya kazi pamoja lakini sio kama bossi
na mdogo wake, lakini tukienda meeting huwa ninasikia vibaya sana because nilikuwa nimemweka
above such behaviour from experience yangu njema ya kufanya kazi vyema sana naye.Sasa haya
yote yametoka wapi?Hebu neleze vile nita mhandle kwa sababu sitaki hata kidogo kumwona huyu
bwana.
 
aaah easy
kumbe tena sio mkuu wako wa kitengo wala
mpe za uso tu
yaani wa hivo mie hata sioni tabu (usitetereke hata kidogo). fanya nae kazi kama kawaida tu ila uwe makini anaweza kukuzushia vitu ili akuharibia (I have experienced such nonesense) ila kwangu wala haikuwa shughulu (hapa bendera chuma mlingoti chuma) na jamaa alinywea mwenyewe and now we are even. But I thank God nin boss ambaye anasoma katikati ya mistari.
 
aaah easy
kumbe tena sio mkuu wako wa kitengo wala
mpe za uso tu
yaani wa hivo mie hata sioni tabu (usitetereke hata kidogo). fanya nae kazi kama kawaida tu ila uwe makini anaweza kukuzushia vitu ili akuharibia (I have experienced such nonesense) ila kwangu wala haikuwa shughulu (hapa bendera chuma mlingoti chuma) na jamaa alinywea mwenyewe and now we are even. But I thank God nin boss ambaye anasoma katikati ya mistari.
Nimepapenda hapo kwenye RED!!
 
Pole sana - watu wa hivyo humu duniani wapo - wewe unamheshimu - yeye kumbe ana mawazo mengine - usikubali tena kwenda lunch na yeye - unapokutana naye - uwe serious - no jokes etc. Otherwise ukiona anazidi kukuelezea upuuzi wake maybe kwa njia ambayo hukutarajia - be open and tell him that you respect yourself - u respect your marriage - and you respect him as a father - itamwingia kichwani - am sure
Hongera kwa kuwa mama mwenye nidhamu - keep it up
 
Mmmh Pole sana yashinde majaribu ...Boss anatawaliwa na tamaa ya ngono ...
Kiubinadamu akili ,mwili na fikira zake potofu zimemfanya ashindwe kukabiliana na tamaa zake za ngono
Mwambie unajiheshimu ,unamheshimu na kumpenda mmeo na pia unaheshimu ndoa yako
atajiju mwenyewe!
 
Nimepapenda hapo kwenye RED!!

hahaa Meku hizi mambo bana usipogangamal mtu anakufanya wewe instrument yake akutumie pale atakapo.

dayyyyyyyyyyyyyym, from wat I experienced, mwanzoni karibu niteme kibarua but there is another strong self of me ikaniambia btw why would you?? stand tall and hold your head up
nikatangaza vita, tukavipiga weeee, finally I won!!
 
Recently nimepata promotion nikakwenda department nyingine.Aliyekuwa bossi wangu ambaye
nilimuheshimu sana kama baba yangu akanipigia simu akiniambia twende lunch.Tulipoenda lunch akanieleza kwamba tangu mwanzo miaka minne iliyo pita amekuwa akinitamani lakini kwa sababu alikuwa direct boss wangu hangeweza nieleza eti amekuwa akivumilia tuu lakini nilipotoka chini yake hawezi akanificha tena eti alikuwa amebeba mzigo mzito.Niliudhika sana kwa sababu nilivyo mheshimu huyu mtu.
Yaani nilikuwa ninarelate naye kama baba so nikahisi nikama baba yangu anataka mapenzi.
Huyu mtu ni mkuu wangu miaka ishirini ana bibi na watoto,na pia mimi nimeolewa.
Yote hayo anayajua.Sikuweza hata mwambia chochote kwa sababu ya aibu niliyo iskia nilitoka nikaenda zangu na nimekuwa nikimu avoid.Kwenye kazi yangu mpya tunafanya kazi pamoja lakini sio kama bossi
na mdogo wake, lakini tukienda meeting huwa ninasikia vibaya sana because nilikuwa nimemweka
above such behaviour from experience yangu njema ya kufanya kazi vyema sana naye.Sasa haya
yote yametoka wapi?Hebu neleze vile nita mhandle kwa sababu sitaki hata kidogo kumwona huyu
bwana.
Tulia na mweleze taratibu kuwa haiwezekani,unakasirikia nini sasa? hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu,maandiko husema hivyo.
Jinasue kwake kiistarabu,usimsemeseme kwa watu kuwa anakutaka otherwise umechoka kazi,na mumeo nae si lazima umweleze. Kumbuka mambo haya maofisini yapo sana tu,Misamaki mikubwa kumeza vidogo,bahati yako umeteleza ungekuta saa hii unasema i miss you babu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom