selestin john
Member
- Jan 20, 2012
- 67
- 8
mmasai mmoja alikuwa anatokea kijijini kwao kuja mjini,alipofika mjini akakuta akinamama wanauza vitumbua barabarani,masai akanunua kimoja %baada ya kumaliza kula akasema"aiseee rafiki nipatie mbegu yake na mimi nikapande kwa shamba yangu"¤¤the end