Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,270
Didasi Masaburi meya wa Bongo ameivunja bodi ya wajumbe wa ddc iliyokuwa ikiongozwa na Abas Mtemvu hivyo kuonyesha ile vita ya UDA bado inawatesa na mapambano bado ni makali kupita kiwango!!