NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Kuna uhusiano mkubwa wa madereva kutokufahamu sheria na ongezeko la rushwa
Madereva wengi hawajui haki zao kisheria kunamakosa mengine mtu unapewa muda kuyarekebisha na kunamengine ni ya fine direct.
Mie binafsi ningependa kufahamu hizo sheria na hili ongezeko la kodi ni uchochezi wa rushwa zaidi.
Kwa yeyote mwenye kuzijua hizi sheria please saidia...
1. Kwa mfano mtu ukiwa umesahau driving llicence yako nyumbani na ukakamatwa unakuwa na masaa mangapi ya kuweza kuiwakilisha trafiki?
2.
Madereva wengi hawajui haki zao kisheria kunamakosa mengine mtu unapewa muda kuyarekebisha na kunamengine ni ya fine direct.
Mie binafsi ningependa kufahamu hizo sheria na hili ongezeko la kodi ni uchochezi wa rushwa zaidi.
Kwa yeyote mwenye kuzijua hizi sheria please saidia...
1. Kwa mfano mtu ukiwa umesahau driving llicence yako nyumbani na ukakamatwa unakuwa na masaa mangapi ya kuweza kuiwakilisha trafiki?
2.