Masaa ya driving licence TZ

NATA

JF-Expert Member
May 10, 2007
4,492
1,311
Kuna uhusiano mkubwa wa madereva kutokufahamu sheria na ongezeko la rushwa
Madereva wengi hawajui haki zao kisheria kunamakosa mengine mtu unapewa muda kuyarekebisha na kunamengine ni ya fine direct.

Mie binafsi ningependa kufahamu hizo sheria na hili ongezeko la kodi ni uchochezi wa rushwa zaidi.

Kwa yeyote mwenye kuzijua hizi sheria please saidia...

1. Kwa mfano mtu ukiwa umesahau driving llicence yako nyumbani na ukakamatwa unakuwa na masaa mangapi ya kuweza kuiwakilisha trafiki?
2.
 
masaa 24, sheria inaelekeza hivyo. kwa hiyo polisi wa usalama barabaran akikukagua na kwa bahati mbaya ukawa umeisahau basi atakupa 24hrs za kuipeleka leseni yako kituo chochote cha polisi kuthibitisha kwamba una lessen
 
Siku moja nilikamatwa na kijana mmoja traffik polisi na kuniambia nimwonyeshe leseni yangu. Ni kamwambia kwamba sina leseni kwa wakati huo lakini akitaka nitamletea. Akanipandishia ni kwanini naendesha gari bila leseni. Nikamwambia sijasema sina leseni ila sijatembea nayo. Akanipeleka kwa mkubwa wake aliyekuwa amekaa pembeni na kunishtaki kwamba nimemfokea. Ilibidi huyo mkubwa wake atumie busara kuniruhusu niondoke.

Ukweli ni kwamba hata baadhi ya traffik polisi hawajui hii sheria ya kupewa saa 24 kupeleka leseni yako endapo utakuwa haujatembea nayo.

Tiba
 
masaa 24, sheria inaelekeza hivyo. kwa hiyo polisi wa usalama barabaran akikukagua na kwa bahati mbaya ukawa umeisahau basi atakupa 24hrs za kuipeleka leseni yako kituo chochote cha polisi kuthibitisha kwamba una lessen

Thank you !
 
Siku moja nilikamatwa na kijana mmoja traffik polisi na kuniambia nimwonyeshe leseni yangu. Ni kamwambia kwamba sina leseni kwa wakati huo lakini akitaka nitamletea. Akanipandishia ni kwanini naendesha gari bila leseni. Nikamwambia sijasema sina leseni ila sijatembea nayo. Akanipeleka kwa mkubwa wake aliyekuwa amekaa pembeni na kunishtaki kwamba nimemfokea. Ilibidi huyo mkubwa wake atumie busara kuniruhusu niondoke.

Ukweli ni kwamba hata baadhi ya traffik polisi hawajui hii sheria ya kupewa saa 24 kupeleka leseni yako endapo utakuwa haujatembea nayo.

Tiba
Sio hiyo tu polisi wetu hawazijui au wanapuuzia sheria nyingi tu sometimes ili kutengeneza mazingira ya rushwa
 
Siku moja nilikamatwa na kijana mmoja traffik polisi na kuniambia nimwonyeshe leseni yangu. Ni kamwambia kwamba sina leseni kwa wakati huo lakini akitaka nitamletea. Akanipandishia ni kwanini naendesha gari bila leseni. Nikamwambia sijasema sina leseni ila sijatembea nayo. Akanipeleka kwa mkubwa wake aliyekuwa amekaa pembeni na kunishtaki kwamba nimemfokea. Ilibidi huyo mkubwa wake atumie busara kuniruhusu niondoke.

Ukweli ni kwamba hata baadhi ya traffik polisi hawajui hii sheria ya kupewa saa 24 kupeleka leseni yako endapo utakuwa haujatembea nayo.

Tiba
wakikupa hizo saa 24 za kupeleka leseni unawaachia dhamana yoyote!?? au ndo unaondoka na kila kitu, vipi kama usiporudi!?
 
wakikupa hizo saa 24 za kupeleka leseni unawaachia dhamana yoyote!?? au ndo unaondoka na kila kitu, vipi kama usiporudi!?
Kaka sheria ndio inasoma hivyo. Wa napashwa wawe na mfumo unaowawezesha kumtrace mtu endapo anashindwa kufika kituo cha Polisi kama alivyotakiwa.

Tiba
 
Kaka sheria ndio inasoma hivyo. Wa napashwa wawe na mfumo unaowawezesha kumtrace mtu endapo anashindwa kufika kituo cha Polisi kama alivyotakiwa.

Tiba
Usichukulie mambo kirahisi hivyo, sheria inampa polisi mamlaka ya kukamata gari na kuipeleka kituoni mpaka mhusika atakapoleta leseni
 
Screenshot_2016-05-30-10-19-56.png
 
Kuna uhusiano mkubwa wa madereva kutokufahamu sheria na ongezeko la rushwa
Madereva wengi hawajui haki zao kisheria kunamakosa mengine mtu unapewa muda kuyarekebisha na kunamengine ni ya fine direct.

Mie binafsi ningependa kufahamu hizo sheria na hili ongezeko la kodi ni uchochezi wa rushwa zaidi.

Kwa yeyote mwenye kuzijua hizi sheria please saidia...

1. Kwa mfano mtu ukiwa umesahau driving llicence yako nyumbani na ukakamatwa unakuwa na masaa mangapi ya kuweza kuiwakilisha trafiki?
2.
Umekosea mkuu.....sio kuwakilisha ni kuwasilisha.......
 
Back
Top Bottom