- Thread starter
- #41
nikifa wanaume wa dar watashangiliaKila mtu akianzisha thread ya kila kipitacho kwenye akili yake JF hakutakalika....!
Nakutakia maisha marefu Marytina,sitaki ku-imagine umekufa,nitaumia sana.
nikifa wanaume wa dar watashangiliaKila mtu akianzisha thread ya kila kipitacho kwenye akili yake JF hakutakalika....!
Nakutakia maisha marefu Marytina,sitaki ku-imagine umekufa,nitaumia sana.
kufa kupo pale pale kama sio leo ni keshowe tina wewe,si ndo uchuro huu jamani
kama unatumia kijiti, basi ni cha malawi tena unachanganya na m@vi ya panyaDEAR!!!
ukitaka usiumizwe kwenye mapenzi go for sub-standard i.e wewe shule ya kuungaunga unamchukua lecturer handsome tena kwao kuna hela za urithi unategemea nini???
mtaachika mpaka mkomee
Marytina dear mzima wewe?
mbona hamnipi RIP zangu au tanikandia ntakapokufa
nikifa wanaume wa dar watashangilia
hii sredi haina maana kwamba natamani kufaKaka Jambazi yuko wapi jama? Amtangulize huyu mbele ya haki.
hii sredi haina maana kwamba natamani kufa
kichaa wewe...nilishasema balaa gani hili jf kufiwa na madada zetu nguli kabisa..chetuntu, regia, mara hii tena marytina!
DEAR!!!
ukitaka usiumizwe kwenye mapenzi go for sub-standard i.e wewe shule ya kuungaunga unamchukua lecturer handsome tena kwao kuna hela za urithi unategemea nini???
mtaachika mpaka mkomee
Ngongo kumbe huyu dada tunaye Arusha, basi hebu cheki M Pesa nimeshatuma mchango na itifaki imezingatiwa.Wana JF Arusha leo tutakuwa na kikao kwaajili ya kumsindikiza ndugu yetu na Dada yetu mpendwa Marytina aliyefariki ghafla jana usiku.Kikao kitaanza saa 12 jioni Soweto Garden kila mwaJF Arusha afike na mchango usiopungua 20,000/= au zaidi.Kamati ya maandalizi inatarajia kutengeneza Tshirt zenye ujumbe mahsusi,kila mwanaJF atapewa nafasi ya kupendekeza nini kiandikwe katika tshirt.
WanaJF waishio mbali na mji wa Arusha michango yao waitume kwa mwenyekiti na mweka hazina wa kamati ya maandalizi Mheshimiwa Ngongo namba ya simu 0755 000001.
RIP Marytina tulikupenda sana lakini Mungu alikupenda zaidi.
Ni kweli siku si nyingi uta RIP,sasa ni vema ungechagua hata adhabu yako mbele ya God,kwani wewe ni mdhambi kweli.
Marytina dear mzima wewe?