MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
akiongea na waandishi wa habari kova alitoa saababu za kupiga marufuku maandamano ya dowans kuwa ni pamoja na tishio la kuwepo kwa kikundi cha kigaidi cha alshabab, akapiga marufuku mikusanyiko yote mjini, mandishi mmoja akuauliza vipi hata mechi ya jmosi dar nayo haita kuwepo? mheshimiwa kova akajibu kuwa alshabab wanapenda kuwalenga wanaharakati,
maoni yangu: waanaharakati, chonde msihudhurie mechi hiyo, mtalengwa na kusababisha maafa makubwa.
nawasilisha
maoni yangu: waanaharakati, chonde msihudhurie mechi hiyo, mtalengwa na kusababisha maafa makubwa.
nawasilisha