Marufuku kupeperusha bendera za chama Morogoro

vituo vya afya vya Mafiga,Sabasaba,uhuru na kinguluwila havina dawa na dawa huisha mapema zinapoletwa na MSD majengo hayatoshi mpango wa kubadili kituo cha afya sabasaba kuwa hosipitali vyote hivi vimemshinda ni miaka dahali sasa imebaki kuwa porojo tu sasakaanza kujiingiza kwenye siasa vyake vimemshinda kaanza mambo ya siasa,uchafu wa masoko yote mawili,mitaro ni balaa tupo huyu hajui wajibu wake.
 
MATTER OF IMMENSE HUMAN RIGHTS URGENCY:
DO TEACH ME SOONER THAN LATER ABOUT THE CONSTITUTIONALITY ABOUT THE NOW CASUALLY-TALKED-OF INFAMOUS MOROGORO AUTHORITIES 'POLITICAL PARTIES FLAGS-OFF ZONES' ORDER


Your Lords Prof Shivji, Advocate Jasha, William Malecella, Friend of Justice Hon Tundu Lissu, John Tendwa, Celina Kombani and the Attorney General,

I do hereby put my DEMANDS thatyou take trouble to provide JF with an immediate, candidly satisfactory and democratically sound answer here following the 'goings-on' and conspicously newer chapter being openned within our political landscape in recent time starting in Morogoro;

Could you please give me an answer now; what is the Constitutionality of this insinuation by the Morogoro Municipal authorities tha it is now choosing for Tanzanian WHAT to do, ..

... HOW to associate and WHERE AND IN WHAT MANNER to express theirinwardly up-springing political enthusiasm, hopes, wishes, aspiration and commitment in that vicinity of Mji Kasoro Bahari?

1. Who issued this ORDER on political parties?

2. What specific section (s) of the constitution was being invoked here to the effect?

3. How is this order going to be enforced and on whose benefit in particular?

4. What does the menu of universally recognised fundamendal human rights indeed tell us about the new development that
literally look akin to a slap on the face of multiparty democracy and the principles of competitive politics in our country?

Wakuu,

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imetoa barua na kuzigawa katika vyama vya Siasa target yao ikiwa Chadema eti ni marufuku kwa bendera za vyama kupepea ndani ya Manispaa,

Sababu eti maeneo ni ya serikali na kuna wananchi hawana chama! Kama mtakumbuka nilieleza kasi ya Chadema katika kufungua matawi ndani ya Manispaa ilinashika kasi kubwa na hilo limewashtua magamba haswa haswa lilie la kata ya kichangani,ambapo Viongozi wa magamba walipita uck na kushusha bendera zote za chama cha chadema na wakati mwingine wanatoa hela kwa vijana wachovu ili kutekeleza hayo!

Leo tamko hilo limejibiwa na katibu wa chadema Wilaya na Ishallah this week nitatoa huma JF barua ya Manispaa na majibu ya chadema kwenda manispaa.

Hivi namna hii kweli tutafika? naomba magamba wasome alama za nyakati kwa uchaguzi wa juzi tu pale senegal.

Nawakilisha,
 
VIJANA TUNAWATAKA UFAFANUZI VIONGOZI WAHUSIKA KWA NINI 'HAKI ZA USHIRI KATIKA VYAMA VYAA SIASA NA NA KUTUMIA VIELELEZO VYA UPENZI NDANI HUMO' HIVI SASA UWE NI KOSA KWA SERIKALI YA CCM LEO HII AMBAPO USHINDANI UMESHIKA MOTO?

... jambo lolote linalogusia kwenye swala la HAKI YA RAIA katika nchi ni swala nyeti hakuna mfano wake;

na kama Mhe Rais wa nchi ndio kabisaaa hatuwezi tukamruhusu hata dakika moja KUSUMBUA, KUBUGHUDHI AU KUKANYAGA haki zetu za msingi Ki-Katiba miguuni;

je huyo anayeitwa 'Kiongozi Katika Manispaa ya Morogoro' yeye anayo madaraka kutoka wapi huko tusiojua hata akachagua KUBAKA haki za kikatiba mchana mchana eti kwa kupiga marufuku bendera ya vyama vya siasa katika mji huo?

Hili ni jambo nyeti ajabu, majuzi tumeshuhudia Dk Bilal akishusha bendera za chama fulani kule Tunduma;

leo tunasikia ya Morogoro na kesho htujui kwamba tutasikia kutoka kona gani tena ya nchi; WANANCHI tunawataka ufafanuzi wa haraka wahusika wote kabla hatujaanza KUONA SABABU KUSIMAMA NA KUHESABIWA katika kutetea haki hizi kote nchini hivi karibuni.
 
VIJANA TUNAWATAKA UFAFANUZI VIONGOZI WAHUSIKA KWA NINI 'HAKI ZA USHIRI KATIKA VYAMA VYAA SIASA NA NA KUTUMIA VIELELEZO VYA UPENZI NDANI HUMO' HIVI SASA UWE NI KOSA KWA SERIKALI YA CCM LEO HII AMBAPO USHINDANI UMESHIKA MOTO?



... jambo lolote linalogusia kwenye swala la HAKI YA RAIA katika nchi ni swala nyeti hakuna mfano wake;

na kama Mhe Rais wa nchi ndio kabisaaa hatuwezi tukamruhusu hata dakika moja KUSUMBUA, KUBUGHUDHI AU KUKANYAGA haki zetu za msingi Ki-Katiba miguuni;

je huyo anayeitwa 'Kiongozi Katika Manispaa ya Morogoro' yeye anayo madaraka kutoka wapi huko tusiojua hata akachagua KUBAKA haki za kikatiba mchana mchana eti kwa kupiga marufuku bendera ya vyama vya siasa katika mji huo?

Hili ni jambo nyeti ajabu, majuzi tumeshuhudia Dk Bilal akishusha bendera za chama fulani kule Tunduma;

leo tunasikia ya Morogoro na kesho htujui kwamba tutasikia kutoka kona gani tena ya nchi; WANANCHI tunawataka ufafanuzi wa haraka wahusika wote kabla hatujaanza KUONA SABABU KUSIMAMA NA KUHESABIWA katika kutetea haki hizi kote nchini hivi karibuni.

Hii font inaumiza macho, au ndo unajifunza jinsi ya kuedit?
 
JacksonMichael said:
Ipo wapi hiyo barua

huna tofauti n yule shahidi kwenye kesi ya lissu...anaulizwa unajua kusoma anasema sijui ila nikivaa miwani ntasoma maana macho yangu ni madogo

Mbona una hasira sana, we barua gani ya serikali ipo hivyo? hakuna muhuri, hakuna signature, yaani inahang tuu kiaina.
sasa hiyo si hata mtoto wa chekechea anaweza kuitunga?
 
Back
Top Bottom