Wakuu,
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imetoa barua na kuzigawa katika vyama vya Siasa target yao ikiwa Chadema eti ni marufuku kwa bendera za vyama kupepea ndani ya Manispaa,sababu eti maeneo ni ya serikali na kuna wananchi hawana chama! Kama mtakumbuka nilieleza kasi ya Chadema katika kufungua matawi ndani ya Manispaa ilinashika kasi kubwa na hilo limewashtua magamba haswa haswa lilie la kata ya kichangani,ambapo Viongozi wa magamba walipita uck na kushusha bendera zote za chama cha chadema na wakati mwingine wanatoa hela kwa vijana wachovu ili kutekeleza hayo!
Leo tamko hilo limejibiwa na katibu wa chadema Wilaya na Ishallah this week nitatoa huma JF barua ya Manispaa na majibu ya chadema kwenda manispaa.
Hivi namna hii kweli tutafika? naomba magamba wasome alama za nyakati kwa uchaguzi wa juzi tu pale senegal.
Nawakilisha,
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imetoa barua na kuzigawa katika vyama vya Siasa target yao ikiwa Chadema eti ni marufuku kwa bendera za vyama kupepea ndani ya Manispaa,sababu eti maeneo ni ya serikali na kuna wananchi hawana chama! Kama mtakumbuka nilieleza kasi ya Chadema katika kufungua matawi ndani ya Manispaa ilinashika kasi kubwa na hilo limewashtua magamba haswa haswa lilie la kata ya kichangani,ambapo Viongozi wa magamba walipita uck na kushusha bendera zote za chama cha chadema na wakati mwingine wanatoa hela kwa vijana wachovu ili kutekeleza hayo!
Leo tamko hilo limejibiwa na katibu wa chadema Wilaya na Ishallah this week nitatoa huma JF barua ya Manispaa na majibu ya chadema kwenda manispaa.
Hivi namna hii kweli tutafika? naomba magamba wasome alama za nyakati kwa uchaguzi wa juzi tu pale senegal.
Nawakilisha,