Jamaa mmoja alikuwa ameshikwa na tumbo la kuhara, basi kwa bahati nzuri aliona uchochoro hivyo aliamua kwenda kujistahi, kufika pale akakuta kibao kimeandikwa 'marufuku kukojoa hapa'. Jamaa akaamua kushusha mzigo eneo lile kwani ingekuwa ngumu kwenda mbali baada ya mzigo kuwa ushawasha indiketa.
Basi vile anamalizia tu, mlinzi akatokea na maongezi yao yakawa kama ifuatavyo
Mlinzi: Zoa mzigo wako kwa mikono kisha lipa faini elfu 50.
Jamaa: Unajua kusoma?
Mlinzi: Ndiyo
Jamaa: Hebu soma hicho kibao hapo
Mlinzi: Marufuku kukojoa hapa
Jamaa: Umenikuta mimi nimefanyaje hapa?
Mlinzi: Umeachia haja kubwa
Jamaa: Sasa
Mlinzi: (Kimya)
Jamaa taratibu akasepa zake
Basi vile anamalizia tu, mlinzi akatokea na maongezi yao yakawa kama ifuatavyo
Mlinzi: Zoa mzigo wako kwa mikono kisha lipa faini elfu 50.
Jamaa: Unajua kusoma?
Mlinzi: Ndiyo
Jamaa: Hebu soma hicho kibao hapo
Mlinzi: Marufuku kukojoa hapa
Jamaa: Umenikuta mimi nimefanyaje hapa?
Mlinzi: Umeachia haja kubwa
Jamaa: Sasa
Mlinzi: (Kimya)
Jamaa taratibu akasepa zake