Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Hawana lolote hao, wao c wana uhakika wa mafuta ya bure, inamaaana nikipatwa na emergence nifanyeje? gari ni chombo cha moto, muda wowote chaweza kupata madhara...au kuishiwa mafuta..they should thnk b4 imposing they r stupid lawz.