Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,945
- 22,096
akofu wam jimbo la muleba kaskazini amewaasa wanandoa kuacha kucheza na mungu huku akiongea kwa masikitiko amesema ndoa nyingi hivi sasa zinakuwa kama mchezo wa kuigiza..bnaya zaidi jamani ubinadamu umewatoka vijana wetu wanaacha mke wakati wa ujauzito;hili nasema marufuku kumwacha mkeo wakati wa ujauzito ...najua wengi watakaouliza hili ila naombna tukiheshimu kiumbe kilicho ndani kuliko yoyote...huku watu wakishangilia mmoja wanaibada alisema duh jamaa kweli kaamua..
kwa upande wetu kweli akuna haja ya kutoambiana ukweli acheni kufanya ndoa kama comedy kama auko tayari acha kuoa ama kuolewa
kwa upande wetu kweli akuna haja ya kutoambiana ukweli acheni kufanya ndoa kama comedy kama auko tayari acha kuoa ama kuolewa