Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema marubani wa kampuni ya ndege ya tanzania wamegoma kurusha ndege mpaka watakapoakikishiwa mishahara yao..akiongea na na msemaji wetu mtoa habari ambaye alikuwa miongon mwao anasema """yaah ni kweli tumaeamua kugoma na hivi ninavyoandika tuko na mkutano na menejiment yao naomba unapgie mchana
Baada ya mchana tulijaribu kuwasiliana nae ambapo simu ilikuwa imezimwa mpaka hapo baadae tulipoampata na kutuabarisha yaliyotokea#
Akiongea kwa masikitiko anasema kweli tumeamua kutorusha ndege haiwezekani watu wanafanya kazi wengine na hela wanagawana wengine hii haipo kabisa...tukawa na maswali kidogo embu tufafanulie ...akasema hivi ninavyoongea na wewe wale menejimenti wanavikao vyao vya mara kwa mara wanagawana doller 200usd kila mtu..nenda kaulize pale kwenye kulipia pesa alisema....inaumiza sana tunahangaika na kuumia na mawimbi huku watu wanakula hela kijinga hivi...unajua ndugu hii kampuni hivi sasa inanuka ""WIZI MTUPU"" kila mtu anajilimbikizia anapvyoweza...sasa kama hatutaamua kuamka wenyewe basi wote tutalala...embu angalia aiwezekani mpaka leo hii tar 9apr hakuna mshahara ukiwauliza ati serikali awajatoa...kama awajatoa mbona hamsemi...tatizo kubwa huyu CEO anahisi wafanyakazi wote ni wajinga tunasikia anadiriki kusema hata kwenye vikao vyake huko nawenzake pale ATCL ni wapole sana hakuna mwenye uwezo wa kugoma...ndipo tukaamua kumwonyesha hilo linawezekana........
Kingine kibaya walivyyoona tunapiga kelele wakaamuua kutangaza tukachukue sh laki 5 kila rubani...walihisi tunahongeka kijinga sana..tukawaambia lengo ni kuhakisha wafanyakazi woote wanalipwa mshahara na si kututenganisha...ndipo akanyanyuka mmoja wa menejimente na kudai kuwapa million 1 wakisubiri..tukawaambia hakuna kitakachofanyika bila mshahara;embu angalia ndugu yangu..baada tu ya mkutano tukaambiwa chequee zote za mshahara zimeepelekwa kwenye bank..tukaenda baadhi ya bank na kukomfirm tukaamua kurusha ndege ya jioni.....,
Hbari zilizo tufikia punde zinasema ndege ya mwanza iliokuwa iondoke saa kumi kamili iliashindwa kuondoka kwa muda muafaka na kuamua kuondoka saa kuminamoja kutokana na kuchelewa kwa mmoja wa marubani ....#
Akisimulia mkasa huo anasema ilibidi rubani mmoja aende kuokoa jahazi bila hata ya uniform za kazi...inashangaza sana kuona rubani anarusha ndege ya abiria na nguzo za nyumbani....akihitimisha mazungumzo yetu mmoja wa warusha ndege alisema unajua wanatuchezea sana hawa ...sasa tumemwambia kuanzia mwezi ujao hakuna kurusha ndege mpaka watupe mshahara...kuanzia tarehe moja mwezi ujao.....si unaona walivyo washenzi yule mkuu wa fedha analia kabisa kwenye kikao hakuna hela jamani tunawaomba tulivyoamua na msimamo wetu unaambiwa ati cheque zimeenda kwenye ma bank...kwa hiyo means walikuwa na cheque wamezikalia
Ndugu kila la kheri wacha nkapumzike nilikuwa mkutanoni tokaasubuhi
Baada ya mchana tulijaribu kuwasiliana nae ambapo simu ilikuwa imezimwa mpaka hapo baadae tulipoampata na kutuabarisha yaliyotokea#
Akiongea kwa masikitiko anasema kweli tumeamua kutorusha ndege haiwezekani watu wanafanya kazi wengine na hela wanagawana wengine hii haipo kabisa...tukawa na maswali kidogo embu tufafanulie ...akasema hivi ninavyoongea na wewe wale menejimenti wanavikao vyao vya mara kwa mara wanagawana doller 200usd kila mtu..nenda kaulize pale kwenye kulipia pesa alisema....inaumiza sana tunahangaika na kuumia na mawimbi huku watu wanakula hela kijinga hivi...unajua ndugu hii kampuni hivi sasa inanuka ""WIZI MTUPU"" kila mtu anajilimbikizia anapvyoweza...sasa kama hatutaamua kuamka wenyewe basi wote tutalala...embu angalia aiwezekani mpaka leo hii tar 9apr hakuna mshahara ukiwauliza ati serikali awajatoa...kama awajatoa mbona hamsemi...tatizo kubwa huyu CEO anahisi wafanyakazi wote ni wajinga tunasikia anadiriki kusema hata kwenye vikao vyake huko nawenzake pale ATCL ni wapole sana hakuna mwenye uwezo wa kugoma...ndipo tukaamua kumwonyesha hilo linawezekana........
Kingine kibaya walivyyoona tunapiga kelele wakaamuua kutangaza tukachukue sh laki 5 kila rubani...walihisi tunahongeka kijinga sana..tukawaambia lengo ni kuhakisha wafanyakazi woote wanalipwa mshahara na si kututenganisha...ndipo akanyanyuka mmoja wa menejimente na kudai kuwapa million 1 wakisubiri..tukawaambia hakuna kitakachofanyika bila mshahara;embu angalia ndugu yangu..baada tu ya mkutano tukaambiwa chequee zote za mshahara zimeepelekwa kwenye bank..tukaenda baadhi ya bank na kukomfirm tukaamua kurusha ndege ya jioni.....,
Hbari zilizo tufikia punde zinasema ndege ya mwanza iliokuwa iondoke saa kumi kamili iliashindwa kuondoka kwa muda muafaka na kuamua kuondoka saa kuminamoja kutokana na kuchelewa kwa mmoja wa marubani ....#
Akisimulia mkasa huo anasema ilibidi rubani mmoja aende kuokoa jahazi bila hata ya uniform za kazi...inashangaza sana kuona rubani anarusha ndege ya abiria na nguzo za nyumbani....akihitimisha mazungumzo yetu mmoja wa warusha ndege alisema unajua wanatuchezea sana hawa ...sasa tumemwambia kuanzia mwezi ujao hakuna kurusha ndege mpaka watupe mshahara...kuanzia tarehe moja mwezi ujao.....si unaona walivyo washenzi yule mkuu wa fedha analia kabisa kwenye kikao hakuna hela jamani tunawaomba tulivyoamua na msimamo wetu unaambiwa ati cheque zimeenda kwenye ma bank...kwa hiyo means walikuwa na cheque wamezikalia
Ndugu kila la kheri wacha nkapumzike nilikuwa mkutanoni tokaasubuhi