Aliwasiliana nami kwa sms alfajiri ya leo akiniambia kuwa ameshinda nafasi ya viti maalumu Singida....
Nimejaribu kumtafuta anipe details lakini simu yake unreachable. Kama tuna mdau yeyote singida atupe yaliyojiri huko.
Aliwasiliana nami kwa sms alfajiri ya leo akiniambia kuwa ameshinda nafasi ya viti maalumu Singida....
Nimejaribu kumtafuta anipe details lakini simu yake unreachable. Kama tuna mdau yeyote singida atupe yaliyojiri huko.
Samahani mkuu kama nitakukwaza, huyu mama kama kweli amechaguliwa tena basi mjue CCM ndio mwisho wake umekaribia !! Ni mtu asiyekuwa na maadili ya kiuongozi na alitia sana aibu alipokuwa huku uingereza eti kwa masomo!! Hafai hata chembe ya senti moja kuwa mbunge
Una maana gani alitia aibu??
Kama sio majungu tu kama kawaida....hawa Dada zetu zijui waliwakosea nini..!!!
Kwenye blog ya Michuzi aliyeshinda ni Ritah Mlaki, viti maalum CCM Dar hivyo taarifa za Matha kutoka Singida bado ni muhimu zipatikane hapa. Wadau wa Singida tusaidieni.
Kutia aibu kwa kiswahili maana yake mtu mzima kufanya vitendo visivyostahili kwa umri wake mbele ya kadamnasi!! Kama ni dadiyo usitake tumwage mchele penye kuku wengi kwani hata huo ubunge atauona mchungu!Kwa kifupi ni ******* doa!!
In our culture mwanaume anaitwa kiwembe,mkali wa totoz..
Mwanamke anaitwa changudoa,jamvi la wageni
kwa kitendo hiko hiko.......
yaani ni bora ingekuwa culture mkuu, ni upuuzi tu tuliojingea wenyewe.
Sijui, ilikuwaje tukafika hapa!!
Heshima kitu cha bure...nilijua tu hoja yako itakuwa ni hiyo. Huna jipya, kwa sababu ni mwanamke ndio unaona hapo ndio penye kumletea majungu. Wewe ulikuwa wapi kudhibitisha kuwa ana tabia hiyo...wewe pia tukuweke kundi gani...la wambeya? Au kwa sababu wewe ni mwanaume unajioa untouchable. Pathetic...
Kutia aibu kwa kiswahili maana yake mtu mzima kufanya vitendo visivyostahili kwa umri wake mbele ya kadamnasi!! Kama ni dadiyo usitake tumwage mchele penye kuku wengi kwani hata huo ubunge atauona mchungu!Kwa kifupi ni ******* doa!!