Martenity Leave

Mercury

Member
Jun 22, 2012
6
0
Kwa wanaojua sheria naomba kujua maswala ya likizo za kinamama wanapojifungua. Mtu akijifungua huwa office ya serikali au binafsi zinampa likizo ya muda wa miezi mitatu. Na je hii likizo ikishaisha huwa kuna likizo ya nusu siku kwaajili ya kwenda kunyonyesha au la. Kwani watu wamekuwa wanaiongelea lakini aijulikani mtu anatakiwa apewe muda gani kwa wafanyakazi wa office binafsi na za serikali. Naomba nipewe ufananuzi na wataalamu wa haya mambo.
 
Sheria Ajira na Mahusiano Kazini, 2004 inatoa haki kwa mwanamke anapokuwa mjamzito kupata likizo ya uzazi yenye malipo (paid maternity leave) ya siku 84, au siku 100 kama utajifungua zaidi ya mtoto mmoja, ndani ya mzunguko mmoja wa likizo. Hata hivyo anaweza kupata siku nyingingine 84 ndani ya mzunguko mmoja endapo mtoto amekufa kabla ya kufikisha mwaka mmoja.

Suala la mwanamke anayenyonyesha kupewa nusu siku sijawahi kulisikia, ila sheria ya kazi inamtaka mwajiri kumpa mwajiriwa anayenyonyesha muda usiozidi saa mbili kila siku ili aweze kumnyonyesha mtoto. Pia mwanamke anyenyonyesha hatakiwi kufanya kazi muda wa usiku kabla ya kutimia miezi miwili tangu alipojifungua.
 
Sheria Ajira na Mahusiano Kazini, 2004 inatoa haki kwa mwanamke anapokuwa mjamzito kupata likizo ya uzazi yenye malipo (paid maternity leave) ya siku 84, au siku 100 kama utajifungua zaidi ya mtoto mmoja, ndani ya mzunguko mmoja wa likizo. Hata hivyo anaweza kupata siku nyingingine 84 ndani ya mzunguko mmoja endapo mtoto amekufa kabla ya kufikisha mwaka mmoja.

Suala la mwanamke anayenyonyesha kupewa nusu siku sijawahi kulisikia, ila sheria ya kazi inamtaka mwajiri kumpa mwajiriwa anayenyonyesha muda usiozidi saa mbili kila siku ili aweze kumnyonyesha mtoto. Pia mwanamke anyenyonyesha hatakiwi kufanya kazi muda wa usiku kabla ya kutimia miezi miwili tangu alipojifungua.


Thank you
 
Sheria Ajira na Mahusiano Kazini, 2004 inatoa haki kwa mwanamke anapokuwa mjamzito kupata likizo ya uzazi yenye malipo (paid maternity leave) ya siku 84, au siku 100 kama utajifungua zaidi ya mtoto mmoja, ndani ya mzunguko mmoja wa likizo. Hata hivyo anaweza kupata siku nyingingine 84 ndani ya mzunguko mmoja endapo mtoto amekufa kabla ya kufikisha mwaka mmoja.

Suala la mwanamke anayenyonyesha kupewa nusu siku sijawahi kulisikia, ila sheria ya kazi inamtaka mwajiri kumpa mwajiriwa anayenyonyesha muda usiozidi saa mbili kila siku ili aweze kumnyonyesha mtoto. Pia mwanamke anyenyonyesha hatakiwi kufanya kazi muda wa usiku kabla ya kutimia miezi miwili tangu alipojifungua.

Wanaruhusiwa pia kuwahi kuondoka..mfano hapa kwetu anaruhusiwa kuondoka saa 8 mchana..
 
Kuruhusiwa kuwahi kuondoka inategemea na makubaliano na muajiri, but kainachojulikana ni likizo ya uzazi siku 90 yenye malipo na masaa mawili ya kwenda kunyonyesha kwa muda wa miezi 6
 
Kuruhusiwa kuwahi kuondoka inategemea na makubaliano na muajiri, but kainachojulikana ni likizo ya uzazi siku 90 yenye malipo na masaa mawili ya kwenda kunyonyesha kwa muda wa miezi 6
ni kwa muda wa miezi 6 tangu kurudi kazini au hadi mtoto afikishe miezi 6?
 
Back
Top Bottom