PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
- Thread starter
- #41
Usimwombee maana kisha legea tayari! Mwombee agangamale!
THEY ABSTAINED FOR 3 YEARS walikuwa bf/gf!yaani they have never made love!
Usimwombee maana kisha legea tayari! Mwombee agangamale!
Sijui about wokovu at this point ama kanisa anhudhuria as such but point yangu is that walipokuwa bf/gf hawakufanya mapenzi kwa miaka 3 kwa sababu rafiki yangu alikuwa saved.
What do you mean? Una maanisha kwamba walikuwa wapenzi kwa miaka mitatu lakini hawakuwahi kukutana kimwili kwa kuwa mdada alikuwa mlokole?
Kwa hiyo sasa hivi huyo dada kaacha ulokole na yuko tayari kufanya ngono? Na je hiyo ''sexual tension and chemistry'' unayoizungumzia ni ipi? Ya sasa hivi baada ya kuoanana tena?
asilimia kubwa ni hao wanaume zetu wanawafata hao warembo, achia mbali hao wachache wanaojilengesha....ndio mana mie nikifuma na deal na mhucka wangu...yeye ndio chanzo!
Excuse me? nafikiriri kama unasoma vizuri nimeandika baadhi na tena nikapigia mstari nikitegemea kwamba kama wewe si baadhi ya hao naowasema mimi hutaguswa na kama umeguswa...well msg sent.
Halafu sio wote tuko hapa ku endorse infidelity no sweetheart no! ni mume wa mtu period, hakuna cha ananifata, ooh alikuwa first love, ooh nataka staki, kama mdada mwenye heshima zako umepewa utashi wa kuamua jema na baya. mume wa mtu ni mume wa mtu kwishney, huyo shoga yako anao uwezo wa kusema no. hizi zingine longolongo tu na sijui hata ushauri anataka wa nini na wakati kashakubali kununuliwa everything. kama kumegwa tena na mume wa mtu ashamegwa, i can assure you. Na pia hapa kuna maoni mbalimbali usitegemee wote tuje tukwambie roses tupu, sometimes hata thorns pia zipo.
Kwa hivo with all due respect, i still stand with woteva i said firts, i stick to it. Thanks.
Recently rafiki yangu amepigwa transfer akaenda town kwenye her first bf of 3yrs lives.
She is single, he is married with one kid.Huyu rafiki yangu anampenda huyu bwana and
infact husema this was her best boyfriend he was very romantic and loving.
Hawaja onana kimwili since at that time which was many
years ago walikua shule tena waokovu.Ananieleza kuwamba sexual chemistry ama tension
iko very high between them.Huyu rafiki yangu alikuwa amepanga kuavoid contact but its a
small town imebidi wakutane.The guy really wants her,amemnunulia vitu na kumsaidia sana
tena anamwonyesha mapenzi na uzuri.pls advice vile anaweza avoid kutumbukia kwenye
majaribu haya.The lady anamtamani huyu bwana bcoz they only kissed and she missed
his sexual love.
recently rafiki yangu amepigwa transfer akaenda town kwenye her first bf of 3yrs lives.
She is single, he is married with one kid.huyu rafiki yangu anampenda huyu bwana and
infact husema this was her best boyfriend he was very romantic and loving.
Hawaja onana kimwili since at that time which was many
years ago walikua shule tena waokovu.ananieleza kuwamba sexual chemistry ama tension
iko very high between them.huyu rafiki yangu alikuwa amepanga kuavoid contact but its a
small town imebidi wakutane.the guy really wants her,amemnunulia vitu na kumsaidia sana
tena anamwonyesha mapenzi na uzuri.pls advice vile anaweza avoid kutumbukia kwenye
majaribu haya.the lady anamtamani huyu bwana bcoz they only kissed and she missed
his sexual love.
Sijui about wokovu at this point ama kanisa anhudhuria as such but point yangu is that walipokuwa bf/gf hawakufanya mapenzi kwa miaka 3 kwa sababu rafiki yangu alikuwa saved.
siku hizi nishakuwa fan wa nyumba ndogo...sijui kwa nini....
mwambie dada wa watu aenjoy maisha,kwani mafupi...
yeye ni second best,na nafasi yake haitabadilika mwambie asijisahau akacomplicate mambo,mimba ama magonjwa ni vitu vya kuepuka!...hivyo condom ni muhimu......
sijui kwa nini tunapenda kumlaumu mwanamke,na wakati dhahiri mwenye makosa hapo ni huyo mwanaume ambaye anajijua kabisa ameoa,ana mke ndani na bado anamfata mtu wake wa zamani,
Mnajuaje labda ndio sasa ametambua amefanya makosa kumuoa huyo mke aliye naye??
pls wacha tusi pretend tht mwanamume kumsaidia mwanamke saaaana is a way of kutafuta mapenzi
New development: Bwana huyu anataka sasa waelope to the States! Ametoka kuniambia that she wants nothing to do with the guy coz kama anaweza tupa family yake esp mtoto wake- how can she trust him????? Nimemjua kwa muda kuwa mtu na principles zake - btw being a christian does not mean you are above these things of these world wacheni kujifanya malaika kwa wale munadai kuchafuliwa dini - hata daudi ambaye Mungu alimwita a man after my own heart yet he killed Uriah so that he could get his beautiful wife. And Abraham the father of faith to save his life alimdanganya pharaoh that Sarah alikuwa dada yake - incase Pharaoh akitaka Sarah awe mkewe! Are u greater than these???????? If not mbona munasema mtu aliyemwokovu hawezi ku struggle na hisia za kimwili na kimapenzi????
Thanks All for the great advice! The rest :Remove the forest in ur eye b4 seeing the speck in others!
New development: Bwana huyu anataka sasa waelope to the States! Ametoka kuniambia that she wants nothing to do with the guy coz kama anaweza tupa family yake esp mtoto wake- how can she trust him????? Nimemjua kwa muda kuwa mtu na principles zake - btw being a christian does not mean you are above these things of these world wacheni kujifanya malaika kwa wale munadai kuchafuliwa dini - hata daudi ambaye Mungu alimwita a man after my own heart yet he killed Uriah so that he could get his beautiful wife. And Abraham the father of faith to save his life alimdanganya pharaoh that Sarah alikuwa dada yake - incase Pharaoh akitaka Sarah awe mkewe! Are u greater than these???????? If not mbona munasema mtu aliyemwokovu hawezi ku struggle na hisia za kimwili na kimapenzi????
Thanks All for the great advice! The rest :Remove the forest in ur eye b4 seeing the speck in others!
New development: Bwana huyu anataka sasa waelope to the States! Ametoka kuniambia that she wants nothing to do with the guy coz kama anaweza tupa family yake esp mtoto wake- how can she trust him????? Nimemjua kwa muda kuwa mtu na principles zake - btw being a christian does not mean you are above these things of these world wacheni kujifanya malaika kwa wale munadai kuchafuliwa dini - hata daudi ambaye Mungu alimwita a man after my own heart yet he killed Uriah so that he could get his beautiful wife. And Abraham the father of faith to save his life alimdanganya pharaoh that Sarah alikuwa dada yake - incase Pharaoh akitaka Sarah awe mkewe! Are u greater than these???????? If not mbona munasema mtu aliyemwokovu hawezi ku struggle na hisia za kimwili na kimapenzi????
Thanks All for the great advice! The rest :Remove the forest in ur eye b4 seeing the speck in others!
so what are you trying to prove to us? kama hutaki ushauri wanaotoa watu umeomba ushauri wa nini? kama ulijua kwamba hata Daudi na Abraham and so on walifanya dhambi na ni wapendwa wa Mungu, nini kinakukwaza? why not go ahead and screw the guy? Coz with your reaction, you make me believe its you and not your friend. Yes some of us have refused to endorse that. But that doesnt mean you cant decide on your own. All the best in America dear.