roselyne1
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 1,365
- 93
Haya maneno yanakutoka kwakuwa weye sio mkewe eeh! Hebu geuza mkondo alafu sikilizia utamu!
hahaaha naingia ndoani nikijua kuwa wanawake tuko wengi kuliko wanaume,it is sooo unrealistic kuwaza kuwa mume ni wako mwenyewe....infact kama niko ndoani ndio sina presha kabisa najua ataenda aendako afu atarudi,hao wadada wengine(kina dada sophy)...sidhani kama wana 'security' kama wale wenye ndoa....