Mbona hata hapa kwetu Magu ni mambo ya kawaida na ni sehemu ya ufaharihii mbona ni kawaida kabisa hapa kwetu Riyadh.............
Beinjing 1995 mko wapi??? Haya ndo mambo ya kuyapigia kelele, maana hayo ndo yana uhusiano wa karibu sana na jinsia yenu.....kuliko mengine mnayoyapigia kelele..
Jamani mbona mie sifanikiwi kuona hio picha? au there is a problem?
woman probably under 15 yrs.