Marriage of the year 2011

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
early_marriage.jpg


WOMAN PROBABLY UNDER 15 YRS.
 
hii mbona ni kawaida kabisa hapa kwetu Riyadh.............
 
Nilifungua kwa haraka haraka nikifikiri ni ndoa ya Mchungaji Masanilo:=). Ah, kumbe ni hao. Hiyo kawaida yao!!!!
 
Beinjing 1995 mko wapi??? Haya ndo mambo ya kuyapigia kelele, maana hayo ndo yana uhusiano wa karibu sana na jinsia yenu.....kuliko mengine mnayoyapigia kelele..
 
Beinjing 1995 mko wapi??? Haya ndo mambo ya kuyapigia kelele, maana hayo ndo yana uhusiano wa karibu sana na jinsia yenu.....kuliko mengine mnayoyapigia kelele..

wapo sana tu kaka. na juhudi zao zimeishaleta mafanikio mengi makubwa sana na zinaendelea. i am proud to be part of this God given movement
 
maskini... subhallah... sasa jamani ujana wake aule wapi uzee ndio akurupuka kuoa???? ampe shida mtoto wa watu.... huyo si kama kajukuu chake tuu???:whoo:
 
wahindi bana... lakini demu anaonesha yupo kwenye 20`s .. ucipime na picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom