Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Itabidi niwa-introduce mapema,ili kuondoa utata.Am on my way mchumba. Nakupitia usijali. Ila sitaki kukuona uko na mastaff wenzako wa kiume!
Itabidi niwa-introduce mapema,ili kuondoa utata.Am on my way mchumba. Nakupitia usijali. Ila sitaki kukuona uko na mastaff wenzako wa kiume!
Shem ntake radhi plzzzzzzzzzzzzzzzz ,chonde chonde,mie muhandisi? au hapa ni nini? ,mchumba hebu nisomeee vizuri.
nikivaa miwani hiyo naisoma; lawyer!
Itabidi niwa-introduce mapema,ili kuondoa utata.
Hahahahaaa, Lawyer wa .......................Nikivaa miwani hiyo naisoma; Lawyer!
Hahahahaaa, Lawyer wa .......................
TAWLA! Hahaha! ndo maana karatasi ya talaka haina mamlaka kwenye nyumba yetu! geoff naona taska zinampeleka pabaya!
Wakuu mm ndo naamka si mnajua mabox yalinielemea
Shem naanza kuhesabu 5.....4......lawyer wa injiniaring!
hahahaha
lawyer wa COET,DIT et al
Shem naanza kuhesabu 5.....4......
nitake radhi upesi,unanitajia profesheni ambazo nina aleji nazo? na hiyo Coet ndio nini?
Collage of Engineering and Technology!Shem naanza kuhesabu 5.....4......
nitake radhi upesi,unanitajia profesheni ambazo nina aleji nazo? na hiyo Coet ndio nini?
Collage of Engineering and Technology!
Si unajua fucult ya Engineering ilijitenga na UDSM na ikawa CoET!! ni pale pale mlimani inajitegemeea sa ivi na in mkuu wake wa chuoHivyoe? Dah! Kiko wapi hicho chuo?