Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
balozi wa tanzania nchini china, (malmo) yupo itv live hivi sasa akishambuliwa na wananzengo.
ktk kiti moto hicho imeonekana balozi anashambuliwa na vijana yeye pamoja na rais (ingawaje hayupo ktk eneo la tukio) lakini vijana wamekuwa wakiwasakama wazi wazi, hii inaonesha ni jinsi gani vijana wa leo wasivo na woga kuwasema viongozi wazi wazi
ktk kiti moto hicho imeonekana balozi anashambuliwa na vijana yeye pamoja na rais (ingawaje hayupo ktk eneo la tukio) lakini vijana wamekuwa wakiwasakama wazi wazi, hii inaonesha ni jinsi gani vijana wa leo wasivo na woga kuwasema viongozi wazi wazi