MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #101
hii nayo imekaaaje, umeenza uhusiano na mkaka alieachana na mchumba wake, sababu za wao kuachana ni tofauti ya dini, walidumu kwenye uchumba zaidi ya miaka kumi, unaamua kumtembelea huyu kaka nyumbani kwake, unakuta kuna nguo na viatu vingi vya kike, unaamua kumuuliza hivi vitu vya nani, anakwambia ni vya ex wake atakuja kuvichukua, na kwamba hatuajaachana kwa ugomvi, siwezi kumpush aje kuvichukua, siku akiviitaji atakuja kuvichukua, hii nayo ni kumark territory kwa ex wa jamaa kwamba alikuwepo ama ni nini jamani
Kate hii inategemea kama aliyetoa hadithi ya kuachana ni huyo Boyfriend and mtu una uhakika wameachana! Isijekuwa anakuvuta masikio, mapenzi yao bado yana chance. Kama waliwezakuwa pamoja kwa miaka kumi wakijua kabisa kuwa wana dini tofauti, nini kitakachowazuia wasiendelee miaka mingine 10?!