Mark Zuckerberg sued by Facebook investors

BabuK

JF-Expert Member
Jul 30, 2008
1,845
329
Furious Facebook.com investors have filed a lawsuit against founder Mark Zuckerberg, alleging he knew the business had been overvalued ahead of its flotation last month (May12).

Zuckerberg floated his social networking site on the U.S. stock market for $100 billion (£63 billion) but shares soon dropped in price, prompting complaints from many investors.
Critics allege the CEO knew the stock was overpriced and protected his own finances by selling off the organisation, according to TMZ.com.

Editors at the website report a lawsuit has now been filed against Zuckerberg, in which it's alleged the site did not generate enough revenue from advertising to warrant selling shares at $38 (£25), and that this information was passed on by Morgan Stanley, JPMorgan, and Goldman Sachs prior to the flotation.

 
Tutatumia hii kesi kuishtaki Serikali ya Tanzania sisi tulionunua hisa za TOL mwaka 1998. Leo hii hisa za TOL hazina thamani hata ya ile pesa tuliyolipa 1998 na si Wakaguzi wala Menejiment walioshitakiwa kwa kupotosha ukweli kuhusu thamani ya kampuni kwa wakati ule.
 
This was supposed to be posted weeks ago not yesterday! Ina muda mrefu tangu ishu itokee, na sio Mark tu bali hata banks zilizokuwa zimeshiriki katika selling of shares, they are sued kwa kuwa not fully open na kuhide some important infos!
 
Haya mambo ya kununua hisa inabidi mtu/kampuni iwe makini sana. Kwa hapa TZ, tunasubili kesi ya Precision Air, kwani walijifanya wanauza hisa huku wakijua kampuni inaenda kufa..
 
Haya mambo ya kununua hisa inabidi mtu/kampuni iwe makini sana. Kwa hapa TZ, tunasubili kesi ya Precision Air, kwani walijifanya wanauza hisa huku wakijua kampuni inaenda kufa..

precision air inakufa?MD25 fafanua mkuu
 
Back
Top Bottom