Hukunielewa mzee, ninachosema ni kutokuwepo uwezekano wa mshikaji kuiua kwa tatu na, maana hata nisingeitangaza. Hata kukopa au kuharibu bajeti zangu ningefanya hivyo. Na hiyo kuwambia mnitafutie MarkII GR iliyo katika hali hii (AU HATA CHINI KIDOGO) ninauhakika huwezimpata mtu wa namna hiyo. Naifikiri kuna haja ya kuwaconsult watu wa filed hiyo kabla hatujataka kununua. Vinginevyo ndo inafika unataka kufananisha na baloon. Na in-case hiyo ni ngumu angalia hata magari online kisha linganisha bei ya baloon na mark II GR (4 cylinder)
Ok nimekupata mkuu......ila unajua yadi dsm zimejaa kibao...bei za huko au za kwenye online tunazijua. Lakini tunaelewa pia kuwa kama ulivyosema awali hii imekuwa ni emergency hivyo hata bei yake hatuwezi kuifananisha na yadi kwani kule mtu unatakiwa umejiandaa. Pia mkuu hata ukichukua kitu kwenye yadi sasa hivi kwa 8.0 m ukifika tu nyumbani ukataka kukiuza lazima tukuvute mpaka 5.0 m....si ndio mambo yanavyokwenda mkuu
Usemacho ni sahihi. Lakini sidhani km tutakuwa tumetenda haki kumuumiza kwa sababu ana shida! Na hata mimi ningemwona anatumbukia pabaya kwa sababu ya shida zake nisingekuwa neutral...Najua siku zote kuwa the hottest place in hell is kept for those who stay neutral in a state of an emmergency. So, I just have to stay honest kwa nafsi yangu na kwa colleague in trouble especially colleague ambaye ameweka trust yake kwangu.
hiyo gari ni ya mwaka gani na imetembea km ngapi, info tafadhari
haha haa fidel ushamwamini bwire kama expert dalali? ndio raha ya JF hii, free consultation at the blink of an eye.Alafu mkuu nina Town Hiace nataka niiweke sokoni vp bei nianzie ngapi?
haha haa fidel ushamwamini bwire kama expert dalali? ndio raha ya JF hii, free consultation at the blink of an eye.
haha haa fidel ushamwamini bwire kama expert dalali? ndio raha ya JF hii, free consultation at the blink of an eye.
Asilimia kubwa ya hiyo mifoleni unayoiona saa kumi na moja unapotoka kazini ni madeni tupu! Siku kibarua kikiota nyasi ndo yanageuka kuwa haya...
Habari wakuu,
Nimepokea simu km dk 15 zilizopita, mshikaji anasema yupo ready kuitoa kwa M - nne na laki tano. (I.e. 4.5 M) Ili mradi tuu ajinasue.
I think this is reasonable kwa mnunuaji anayemaanisha,mnasemaje...
Gud day kwa wana JF wote!