Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Mama akishapata mimba hana haki tena kumchagulia kiumbe mwingine kuishi au kufa...! Hayo ya kuchaguwa yanapaswa kufanyika kabla ya ujauzito na si baada ya ujauzito.
Kuchagua uhai ni uchaguzi mzuri!