Hivi hizi ni Hospitaly,Clinic au Dispensary coz mtu unaenda na mgonjwa saa mbili wamefunga hawatoi humuma maana yake nn?au pengine ni Duka la Dawa watuambie tujue moja inauma sana wadau hebu nisaidieni!!!!!!!
Marie stopes zote kazi haswa ni kutoa mimba hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu na sekondari,wateja wengine ni wa kuongeza tu siku.kama ulikuwa hujui fanya utafiti ndugu yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.