jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
kufikishwa mahakamani si tatizo.. nani kawaambia kuwa hawatafikishwa mahakamani? kupata conviction kwa mtindo huu? forget it.
Hapo kwenye conviction tunasubiri kwani sheria ni msumeno.
Kwanza hata kwenye kesi ya EPA wakimbana SB,DDDD,DF na DEP pamoja na HBCD Mr Mwakosya basi hao hata wasipotaja mtu wanahaki ya kwenda ndani.
Na hao wengine waliofanya ufisadi chini ya uongozi wao sijui ni kwanini kusiwe na conviction...Lakini resolve iko pale pale na tutahakikisha haki inapatakina!