Hapa nadhani unaongelea mpambano wa mwaka 2000 kati ya George W, na AL Gore ndo ulioleta songombingo. Bush na Kerry ilikuwa 2004 na Bush alishinda Florida pasipo kuiba kura!.Hamna kitu mkuu wanapikaga hata matokeo hawa, si unakumbuka mchuano wa Bush na John Kerry kule Florida?
Inawezekana hujui siasa za Marekani!Hamna kitu mkuu wanapikaga hata matokeo hawa, si unakumbuka mchuano wa Bush na John Kerry kule Florida?
Inawezekana hujui siasa za Marekani!
Inawezekana