Marekani inatufanya watanzania wote mbumbumbu

- Well, hapo kuna US foreign policy ambayo ni only US interest, the dataz ni kwamba Tanzania tuna uranium somewhere, Iran wanaitaka......na.....you can fill the rst of the story ukianza na kina Rostam...!

Respect
.

FMEs!

Yap ni kweli kamanda niliwahi kumwambia rafiki yangu mmoja kuwa Tanzania isipokuwa makini inaweza kutokea mawili. Moja ikiwa tutapata viongozi waadilifu (which sidhani) tunaweza kuwa nchi mmoja tajiri kwani haya mataifa makubwa yakigombani rasilimali hizi bei ya uranium itapanda sana na sisi tutafaidika. Pili ikiwa viongozi walafi basi tutaishia kupigana wenyewe kwa wenyewe kwasababu China, Iran watakuwa na wapambe wao na UK na US watakuwa na wapambe wao mwisho wa siku tunachinjana wao madini wanayapata through the black market.
 
Yap ni kweli kamanda niliwahi kumwambia rafiki yangu mmoja kuwa Tanzania isipokuwa makini inaweza kutokea mawili. Moja ikiwa tutapata viongozi waadilifu (which sidhani) tunaweza kuwa nchi mmoja tajiri kwani haya mataifa makubwa yakigombani rasilimali hizi bei ya uranium itapanda sana na sisi tutafaidika. Pili ikiwa viongozi walafi basi tutaishia kupigana wenyewe kwa wenyewe kwasababu China, Iran watakuwa na wapambe wao na UK na US watakuwa na wapambe wao mwisho wa siku tunachinjana wao madini wanayapata through the black market.

Hela za watu hizo, usijidanganye kwamba kuna hela za "Tanzania" hapo.

Wewe unafikiri kwa nini Kikwete is in bed with the Iranian nuclear ambition? Kabla ya kuingia Ikulu alishapewa $ 20 million za kampeni kwa understanding ya kwamba wairan watakuwa entertained katika hili.
 
Hela za watu hizo, usijidanganye kwamba kuna hela za "Tanzania" hapo.

Wewe unafikiri kwa nini Kikwete is in bed with the Iranian nuclear ambition? Kabla ya kuingia Ikulu alishapewa $ 20 million za kampeni kwa understanding ya kwamba wairan watakuwa entertained katika hili.

Yap ndio maana nikasema tutakuwa a blood bath kwani mataifa makubwa yatatoa pesa katika makundi kutugombanisha wao waendelee na biashara zao nyuma kama ilivyokuwa Angola zamani.
 
Hela za watu hizo, usijidanganye kwamba kuna hela za "Tanzania" hapo.

Wewe unafikiri kwa nini Kikwete is in bed with the Iranian nuclear ambition? Kabla ya kuingia Ikulu alishapewa $ 20 million za kampeni kwa understanding ya kwamba wairan watakuwa entertained katika hili.


na wewe pia??????
umeanza lini habari hizi za udaku?????
unaweza thibitisha??????
 
umeamua kuwa Richard Nixon sasa...
if u cant convince them,confuse them.........

huna cha kuthibitisha.

Na wewe huwezi kuthibitisha kwamba sina cha kuthibitisha, ninakuuliza maswali pertinent unashindwa kujibu halafu unakuja kusema "huna la kuthibitisha".
 
they know that it is a lie!

wakisema hivyo wanataka serikali hii iendelee kuwa madarakani, wanawasifu viongozi dunia ijue, ili hali wakichukua raw materials migodi ya dhahabu ni yao, sio wajinga

wakisema hivi wanawapata wale wananchi fulani, watakaosema;you see, even USA is complimeting Tz! let give CCM vote for the next 20yrs.

So they are not fool, they make those speech purposely!after all who are they? can JK made the same statements towards USA that Obama is doing good! why?

Ilichotakiwa ni kuwashushua, kufanya maandamano ya amani ya kupinga hii statement, wa kufanya hivi ni vyama vya upinzani! another delusion 'thing' for Tanzanian!

ukisikia tu kuna reaction ya chama chochote cha upinzani over this statement ni-PM tafadhali!!

Nafikiri hapo kwenye reddish pananigusa.

US & co ukiangalia jinsi wanavyozinyonya nchi za maskini utashangaa. Ikumbukwe kuwa sarakasi zoote zinazopigwa na Mmerikani haziendi burebure. Na shida yao kubwa ni kukamata rasilimali zetu na masoko yetu. Na kwa bahti mbaya kwa kiwango kikubwa tumesha-surrender mambo mengi sana kwa Wamerikani, na hata Wachina vilevile.

Mbinu wanazotumia mabeberu ni kama zifuatazo.

1. Kulazimisha masoko ya bidhaa zao. Hata kama bidhaa hizo ni silaha, wataanzisha chokochoko ili ku-create demand/

2. Kuyatumia mashirika makubwa ya fedha duniani, kulazimisha mabadiliko ya sera kwenye uchumi ktk nchi maskini wanazozitarget. Mambo kama ya ubinafsishaji, ni ktk kuhakikisha mashirika yao au/na proxies wao wanakamata hayo mashirika na kuweza kukamata masoko yetu na ku-control uchumi wetu/

3. Kuweka na kusupport uongozi ambao hautakuwa kikwazo kwenye agenda zao, hata kama hawakubaliki na wananchi, zitachezwa sarakasi hadi wakubalike hata kwa mtutu. Viongozi hawa hawana uchungu na nchi zao na ni wepesi hata kupanda ndege kwenda London kusaini mikataba ya kilaghai inayoumiza nchi (Buzwagi style)/

4. Wanahakikisha wanapromote utamaduni wao na lifestyle yao. Ndio maana unakuta Obama anaguswa na muswada wa magay Uganda badala ya kitu kama mafuriko ya Kilosa. etc

I'm disgusted kuendelea ..
 
next time
andika vitu credible.

Like you would know what is credible.

Ushawahi kulisikia journal linaitwa "African Intelligence" katika maisha yako yote?

I doubt hata the vi-nzis of this forum wakilipa subscription fee on your behalf na kukutafunia uta appreciate.
 
I never take any compliment coming from Americans serious...they are know what and when to say for the OWN benefits.[/FONT]

YY

Mkuu hii point nzuri ila sijailewa naomba uweke kwa lugha ya taifa ili tufaidi sote. Aksante.
 
[QUOTE = NGULI; 779451st] General is a good point but I ilewa I simply state the language to tufaidi all. Aksante. [/ QUOTE]

[QUOTE = Fidel80; 779,488] General did not get completely.
Vp is still bush? [/ QUOTE]

Mmeniacha njia panda...sijawaelewa Wakuu.
 
- Tanzania na wa-Tanzania wote we should learn kutoka kwa hawa US, how to stand for our National interest only, bila ya kujali anything au anybody in the process! Binafsi nilishajifunza hili darasa longtime ago, ndio hasa msingi wa bin-adam kuendelea mbele!

- Mambo ya itikadi mbele yalishapitwa na wakati, siku hizi ni what is your intrerest and what is mine, halafu tunakutana kati kati, au ninakumeza mzima mzima through manipulations for my interest, I mean my interest first!

Respect.


FMEs!
 
they know that it is a lie!

wakisema hivyo wanataka serikali hii iendelee kuwa madarakani, wanawasifu viongozi dunia ijue, ili hali wakichukua raw materials migodi ya dhahabu ni yao, sio wajinga

wakisema hivi wanawapata wale wananchi fulani, watakaosema;you see, even USA is complimeting Tz! let give CCM vote for the next 20yrs.

So they are not fool, they make those speech purposely!after all who are they? can JK made the same statements towards USA that Obama is doing good! why?

Ilichotakiwa ni kuwashushua, kufanya maandamano ya amani ya kupinga hii statement, wa kufanya hivi ni vyama vya upinzani! another delusion 'thing' for Tanzanian!

ukisikia tu kuna reaction ya chama chochote cha upinzani over this statement ni-PM tafadhali!!


wAMEONA MADINI YA URANIUM PALE DODOMA. ILI KUYAPATA LAZIMA JK WAMPAMBE ASIJE AKAWAGEUKA AKAWAPA MAHASIMU WAO WACHINA.
 
Most of the US Ambassadors are members of the Central Intelligence Agency (CIA). What the US ambassador said was typical part of his obligations as CIA member i.e. propaganda.

US through CIA circulates false information, bribed, corrupted and consipred with govt officials in order to safeguard interests of the US. Hapa ndipo nchi zinazoendelea tumeliwa, Warse enough in CIA there are the so called 'Case officers' who operate in foreign countries like missionaries, businessmen, newsmen,studentsor innocent visitors etc and most of them live in deep covers at the embassy. What they do is to penetrate in the host gvt, learn its inner working and manipulate it for the Agency (CIA) purposes. But what is shocking, these case officers, in most cases do rucruit members of CIA from military forces, press, labor unions, political parties, and other important groups, in real sense they infiltrate the host govt and leave it like busted busket. Hatujui, viongozi wengi wa TZ ni wapenda fedha kuliko kutumikia wananchi, tusishangae akina chenge, Mramba, Beno, Rostam, Makatibu wakuu au Mhe. Jk are part of CIA. Nashiwishika kusema labda viburi vyao vinatokana na kujua ni wapi wameegemea.....CIA. TO HELL WITH CIA
 
Back
Top Bottom