Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Marekani inasemekana kwa kiasi kikubwa kuifadhili jumuiya ya uamusho ya Zanzibar kwa kuipatia fedha na samani za ofisi. Hii ilijidhihirisha wazi kwa ubalozi wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na balozi za Uingereza na Norway kushiriki katika mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni baina n=ya waziri wa mambo ya ndani Dr. Nchimbi, IGP Mwema na viongozi wa kiislamu Zanzibar.
Je nchi hizi tatu zina maslahi gani na jumuiya ya uamusho?
Je nchi hizi tatu zina maslahi gani na jumuiya ya uamusho?