Ndugu zanguni wana JF, ninaomba kueleweshwa kidogo juu ya urejeshaji wa mkopo wa vyuo vikuu
1. Ni kwa nini wanasiasa waliweka seal yaani watakao lipa ni wale walio maliza vyuo vikuu kuanzia 1994 na kuendelea na si vinginevyo?
2. Je mtu kusoma na kupata kazi si moja ya mapato ya serikali kwani katika mshahara kila mwezi unalipa kodi ambayo ni moja ya vyanzo vikubwa vya mapato ya nchi?
3. waliokuwepo bungeni wakati wa kupitisha hoja hiyo walikuwa ni wale waliomaliza chuo before 1994?
4. Kwa wale ambao hawana mkataba na serikali wa namna walivyokopeshwa je watarudisha nini na kwanani kwani bodi miaka ya 1994 ilikuwa haipo, na pia kulikuwa hakuna mkataba na wanafunzi hao wa enzi za no bodi ya mkopo?
1. Ni kwa nini wanasiasa waliweka seal yaani watakao lipa ni wale walio maliza vyuo vikuu kuanzia 1994 na kuendelea na si vinginevyo?
2. Je mtu kusoma na kupata kazi si moja ya mapato ya serikali kwani katika mshahara kila mwezi unalipa kodi ambayo ni moja ya vyanzo vikubwa vya mapato ya nchi?
3. waliokuwepo bungeni wakati wa kupitisha hoja hiyo walikuwa ni wale waliomaliza chuo before 1994?
4. Kwa wale ambao hawana mkataba na serikali wa namna walivyokopeshwa je watarudisha nini na kwanani kwani bodi miaka ya 1994 ilikuwa haipo, na pia kulikuwa hakuna mkataba na wanafunzi hao wa enzi za no bodi ya mkopo?