Chimemena
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,376
- 451
Jamani wanaJF eti mwenzenu nifanyeje..?? Mara kwa mara huwa naota kwamba nafanya mapenzi na dada m1 ambaye kashafariki tangu mwaka 2005 na anadai kwamba ananipenda sana tena sana na anataka tufunge ndoa. Mbaya zaid kpnd yupo hai hatukuwahi kuwa wapenzi ila tu nilisoma naye na kumaliza elimu ya msingi mwaka 1998. Huyo binti alikuwa anaitwa JAMILA. Naomba msaada nn nifanye ili kunusuru hl tatzo kwani kila asubuh nahc kuchoka mwli mzma ka nkiota nipo naye. .......INANIUMA SANA.....!!