Marehemu achaguliwa uongozi wa tawi CCM!

Hii ni ISHARA tosha kabisa kuwa CCM IMEKUFA NA NI MAREHEMU. Kitendo cha kuweka mwenyekiti marehemu maana ni kwamba chama hakipo pale kimeshakufa. Tulisikia kwenye media juzi kuwa CCM walikuwa wanahaha kutafuta viongozi wa vitongoji maana HAKUNA WATU WALIOKUWA TAYARI KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA HIZO NAFASI ZA CHAMA MFU.

Lakini pia kuweka marehemu ni ISHARA nyingine kuwa CCM BADO NI MAFISADI. Tumeshasikia mabilioni ya shilingi yanayolipwa kwa WATUMISHI HEWA SERIKALINI ambao wengi wao ni marehemu,waliostaafu na waliofukuzwa kazi lakini bado wanalipwa mishahara. Kwa hiyo huyo Mwenyekiti marehemu ataendelea kula pesa za chama kama vile yuko hai.
Kampeni za Uchaguzi wa Rais,Ubunge na Udiwani wataandika kuwa mwenyekiti wa CCM yupo na wanachama hewa kadhaa watakaopiga kura hewa na kuonyesha CCM imeshinda kwa kishindo kwenye kituo husika cha kura. Wizi mtupu!!!!

Hata hivyo kwa mtaji huu CCM hawatakatiza Uchaguzi Mkuu wa 2015. Mind set ya Watanzania imeshabadilika vya kutosha kwa msaada wa CHADEMA na style yao ya M4C na VUA GAMBA VAA WANDA.

Pipoooooooozzzzzzzzzzzzzzzz!pooooooooooooooooooooower! Piga ua mabadiliko ni lazima kwa sasa.
 
Tuendelee kusubiri, hata uenyekiti wa CCM taifa wataukimbia tu!
 
Hiyo ni dhahiri, oooh RIP ccm,
mmeshaanza kuchagua vingozi wafu kwanza kabla ya kufa rasmi!
 
Amani na idumu tanzania, ubaguzi wa dini, rangi, ukabila wala ufuasi wa siasa mwiko katika taifa letu, wenye nia mbaya wafe kwa ajali mbaya.
 
Nimeona kwenye gazeti la sema usikike la tar 28, ukurasa wa kwanza. Limeandikwa, "Vituko uchaguzi wa ccm: Mwanachama aliyekufa na kusahaulika achaguliwa mwenyekiti wa ccm Dar". Nimebaki najiuliza, swala la kukosa wanachama wa kugombea uongozi wa shina (mabalozi) limefikia hapa!? Kweli ccm imekwisha vibaya!

HAYA NI MADHARA YA KUAMINI ILE DHANA YA "KUPITA BILA KUPINGWA" au KUTOJUA KUWA WAKATI UMEPITA.
 
Back
Top Bottom