Marathoni

mluga

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
676
215
Jamaa alitumwa kwenda kushiriki si kuwakilisha, mpo hapo?
 

Attachments

  • marathon.jpg
    marathon.jpg
    54.2 KB · Views: 200
Tamaa zingine ni za kijinga sana. hii yote inatokana na kuto-kukonsetreti na anachokifanya. Kuona wadada tu, mawazo yoooote yamehama! Aagh.....!
 
hizi zote ni idea za mafreemason kuwa mbio za marathoni mtu hawezi kimbia mpaka eti amevaa chupi, ni dalili za wazi za kumfata shetani. maana siku zote shetani hufurahi akimtoa mtu katika utu wake na kuwa dharili hata kupita mnyama.
 
hizi zote ni idea za mafreemason kuwa mbio za marathoni mtu hawezi kimbia mpaka eti amevaa chupi, ni dalili za wazi za kumfata shetani. maana siku zote shetani hufurahi akimtoa mtu katika utu wake na kuwa dharili hata kupita mnyama.

Acha kukalili, ulitaka avae kanzu ndo akimbie marathon. Kila mchezo una mavazi yake, tatizo yeye alisimamisha mpini, jamaa ina onekana hajawahi kuona akina dada wamevaa nguo zao za athletics. Lakini inaonekana wale wanawake pale walipata burudani ya bure maana wanaonekana wanacheeeka!
 
hizi zote ni idea za mafreemason kuwa mbio za marathoni mtu hawezi kimbia mpaka eti amevaa chupi, ni dalili za wazi za kumfata shetani. maana siku zote shetani hufurahi akimtoa mtu katika utu wake na kuwa dharili hata kupita mnyama.

hapo jamaa anaonyesha tabia mbaya, moral bankruptcy and disruption to a public order. Lakini usikimbilie kutoa hukumu, kila mtu anashetani wake, kuna wazinzi, wezi, wauaji, washirikina, wafuga majini (mashetani), wapinga kiristo nk nk. wote hao kama hawataungama dhambi zao wataingia motoni. Mkuu wewe jipime mwenyewe ujiulize uko kundi lipi, ya mwezio mwachie mwenyewe na Mungu wake.
 
Back
Top Bottom