hizi zote ni idea za mafreemason kuwa mbio za marathoni mtu hawezi kimbia mpaka eti amevaa chupi, ni dalili za wazi za kumfata shetani. maana siku zote shetani hufurahi akimtoa mtu katika utu wake na kuwa dharili hata kupita mnyama.
hizi zote ni idea za mafreemason kuwa mbio za marathoni mtu hawezi kimbia mpaka eti amevaa chupi, ni dalili za wazi za kumfata shetani. maana siku zote shetani hufurahi akimtoa mtu katika utu wake na kuwa dharili hata kupita mnyama.
Marathon ya kutembea hiyo!