Haachwi mtu hapa mpaka kieleweke.yangu macho na masikio
ila tumwache nape afanye kazi aliyotumwa
Kipigo hicho anakistahili dogo maana amejisahau.
Ni huyu huyu alikuwa akimshutumu sana JK kwa kushindwa kuongoza CCM mpaka inatekwa na mafisadi. Ni huyu huyu aliingia katika deal ya kujiunga na Chadema kwa sharti la kuachiwa jimbo la Ubungo ili Mnyika afanye kazi za chama.
Ninapomuona anawasema Chadema simuelewi.
Yeye apambane na mafisadi wa chama chake aachane na Chadema.
Ufisadi ndani ya CCM na serikali yake ni hatari kuliko "ufisadi" wa Chadema wa kumlipa Dr. Slaa shilingi milioni saba kwa mwezi.
teh teh teh teh teh
"Kwanza magari yanayozungumziwa chakavu yamenunuliwa nje na kuanzia kazi CHADEMA mpaka leo, na hayajawahi kutumiwa na Mbowe, alisema"
Du kwa hiyo nje , duuuuuuu ndo qualification?
Yalinunuliwa na Mbowe yakiwa mapya, yakatumiwa na chama wakati wa uchaguzi, hadi ,ajuzi walipoyahitaji. Hivi hilo gari la TOT CCM walinunua sh gapi?