R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Raisi mstaafu ali hassan mwinyi na Raisi mstaafu wa MALAWI Bakili muluzi wamekutana kwa maongezi ya falagha pembezoni na shughuli iliyompelekka ya jitmai,
Katika mazungumzo hayo yalihusu mgogoro wa ziwa nyasa;
Mpaka sasa haijafahamika wamefikia makubaliano yapi kuhusiana na na mgogoro wa ziwa nyasa.
Safari hii ya Raisi mwinyi imeandaliwa na mwenyeji wake Raisi Bakili muluzi
Katika mazungumzo hayo yalihusu mgogoro wa ziwa nyasa;
Mpaka sasa haijafahamika wamefikia makubaliano yapi kuhusiana na na mgogoro wa ziwa nyasa.
Safari hii ya Raisi mwinyi imeandaliwa na mwenyeji wake Raisi Bakili muluzi