Wanajamvi muukhali gani? Kuna swali ambalo najiuliza siku nyingi pasipokuwa na jibu, na sali lenyewe ni kuwa Zanzibar ishaongozwa na marais wangapi tangia apinduzi? Anaejua anijuze ikiwezekana na majina yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.