ukolini bado upo na akili msaburi kwa wingi sana
View attachment 42206
marais wa afrika na jumuia ya madola masikini wakiwa wamepangishwa foleni kumsujudu malkia kwa ajili ya kuomba misaada yenye masharti ya ushoga. Kiongozi wa msafara hakusahau madesa ya kusoma wakati wa kujumuisha maombi hayo.
View attachment 42206
Marais wa Afrika na jumuia ya madola masikini wakiwa wamepangishwa foleni kumsujudu malkia kwa ajili ya kuomba misaada yenye masharti ya ushoga. Kiongozi wa msafara hakusahau madesa ya kusoma wakati wa kujumuisha maombi hayo.
kumpa mkoni sio issue, tatizo ni kuwapangisha foleni wakuu wa nchi. Na hata kwa kesi unayosema wewe ya "mgeni akija kwako," mimi husubiri wakisha kaa nawafata mmoja mmoja namsalimu na kumkaribisha, ndio ustaarabu wa kwangu. Siwezi kuwapangisha wageni foleni mlangoni, achilia mbali marais. Na nimehudhuria vi-cocktail na vi-shughuli vya kiswahili na vya kidhungu sijawahi kupangishwa foleni mlangoni eti kumsalimu mwenyeji wetu. Sembuse marais. Unadhani marais wa NATO wangepangishwa foleni hapo?ni kawaida mgeni akija kwako ..... Ama ulitaka mwenyeji afanye nini..???