Marafiki wengi sana.

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,288
Aged 22, mwanafunzi wa chuo kikuu, lakini niliyekulia uswahilini.

Nina uwezo wa kusocialize na yeyote, popote, wakati wowote. Nina marafiki kuanzia huku uswazi, wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi mpaka viongozi wa kisiasa, ninao vijana wa shule mpaka wazee wa umri mkubwa, na wote tunalewana bila tatizo. Tatizo ni kuwa nimekuwa na marafiki wengi mno, karibu kila hatua ninayopitia na kila mahali ninapofika, ninaposema rafiki namaanisha rafiki, sio mtu tu wa stori mbili tatu, I mean yule naweza share nae happy and sad moments.

Tatizo ni kuwa wamekuwa wengi kiasi kwamba inakuwa ngumu ku-keep in touch nao wote. Likitokea tatizo, usipomwambia mmoja inakuwa lawama..., jumlisha na mihangaiko ya maisha ndio kabisa! Kuvunja urafiki haiwezekani, na ukipoteza ndo ivo tena!

Any way out wakuu?
 
Aged 22, mwanafunzi wa chuo kikuu, lakini niliyekulia uswahilini.
Nina uwezo wa kusocialize na yeyote, popote, wakati wowote. Nina marafiki kuanzia huku uswazi, wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi mpaka viongozi wa kisiasa, ninao vijana wa shule mpaka wazee wa umri mkubwa, na wote tunalewana bila tatizo.
Tatizo ni kuwa nimekuwa na marafiki wengi mno, karibu kila hatua ninayopitia na kila mahali ninapofika, ninaposema rafiki namaanisha rafiki, sio mtu tu wa stori mbili tatu, I mean yule naweza share nae happy and sad moments. Tatizo ni kuwa wamekuwa wengi kiasi kwamba inakuwa ngumu ku-keep in touch nao wote. Likitokea tatizo, usipomwambia mmoja inakuwa lawama..., jumlisha na mihangaiko ya maisha ndio kabisa!
Kuvunja urafiki haiwezekani, na ukipoteza ndo ivo tena!
Any way out wakuu?

...Jitahidi tu kuendelea kuwa nao hakuna ubaya wowote wa kuwa na marafiki wengi hasa kama si marafiki wenye unafiki.


 
Last edited by a moderator:
Rafiki mkia wa fisi. Aisee ukipatwa na shida ndo utajua rafiki yako haswa ni yupi. Kuna mtu akiona una shida hata simu yako hapokei!
Weka utaratibu wa kuwasiliana nao once in a while. Kama marafiki kweli in their hearts of heart wanajua u ar just friends.
 
...Jitahidi tu kuendelea kuwa nao hakuna ubaya wowote wa kuwa na marafiki wengi hasa kama si marafiki wenye unafiki.




Na marafiki wa kweli utawajua ukipata shida
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hongera kwa kuwa na marafiki wengi.

Japo mie siwezi kuwa na marafiki wengi ila nafahamiana na watu wengi.

Una bahati!
 
Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli..
Hapo unajiona una marafiki wengi lakini siku ukiwa na shida/tatizo unaweza kujikuta umebakiwa na marafiki kumi..
 
Hongera kwa kuwa na marafiki wengi.

Japo mie siwezi kuwa na marafiki wengi ila nafahamiana na watu wengi.

Una bahati!

Kongosho i guess this is exactly the topicer(mtoa mada) wanted to say...
 
Last edited by a moderator:
I have few to call them are close to my heart wengine ni changamsha genge.
 
Hao wa sekta isiyorasmi ni wepi???wale wa kinondon makaburini????wanaosimamisha magar usiku????
 
I have few to call them are close to my heart wengine ni changamsha genge.

Hiyo ya kumfanya mtu changamsha genge ndo inakuwaga ngumu. Inataka uwwe na kaunafki-unafki fulani hivi...
 
nijuavyo mimi,... marafiki hupatikana na kutoweka/kupungua kulingana na mazingira uliopo, pia na status yako inavyobadilika. rafik wa primary, kama hakubahatika kuendelea na secondary, lazima urafiki wenu utapungua. hivo hivo na marafiki wa secondary na advance uliowaacha urafiki wenu utapungua. sidhani kama bado unao wa tangu chekechea, bcoz you won't be talking the same language, na hata kama utapenda kuongea nao bado watakuogopa na kukuona si sawa na zamani.
 
Back
Top Bottom