am :tape: coz i don't want to :rip:!!wht are you saying?
YOU NEED ANONYMOUS,don't you?
wewe utapanda tukutuku ya ''the king''
hilo halijadiliwi tena
roya haendi
Mi siendi...nipo Dodoma tayari...nimewasiliana na Bigirita akodishe taxi ya kuleta baadhi ya wadau hapa dom...
Thanks darling ngoja nikapack the necessary items hivi safari ni lini tena????
Wewe kijana naona umekaa kishari zaidi. Natangaza vita.Naomba Pretty asome huu usemi kabla ya kukupa lift nyuma ya tukutuku yako
Don't trust a species that's always smiling, its up to something!
nitakuwa dereva wa taxi....!Mi siendi...nipo Dodoma tayari...nimewasiliana na Bigirita akodishe taxi ya kuleta baadhi ya wadau hapa dom...
taxiiiiii Taxiiiiii! how much will you charge from here to dodoma?Mi siendi...nipo Dodoma tayari...nimewasiliana na Bigirita akodishe taxi ya kuleta baadhi ya wadau hapa dom...
Sema neno tu na utatolewa meno ushindwe kula supu ya jogoo,....ila bia utaendelea kunywanitakuwa dereva wa taxi....!
i mean nitapaa na charter kumuacha anonymous again nitarud nayo na kuchukua taxi.....!abiria wangu nitawapakia nikianzia kino
Wewe kijana naona umekaa kishari zaidi. Natangaza vita.[/QUOTE]
Ya mbusi kwa mbusi
Sema neno tu na utatolewa meno ushindwe kula supu ya jogoo,....ila bia utaendelea kunywa
Nahisi hili la nani aende na nani lisiposimamiwa vizuri huenda safari zikaishia chalinze tu....mi ntanda na yeyote yule given that yu tayari kupanda pawa tila, dar-dom 3days
Dogo Baba G,
Ni wazo zuri sana ila kama unavyojua itabidi nitafute mwakilishi....Nitakupa jina kabla jogoo (naaminisha kuku, msijeniuliza maswali) hajawika!
Ila Baby yenu anawaombea kwa Mwenyezi Mungu awatangulie nyote mtakaoenda kimwili na sisi tutakuwa nanyi kiroho...
Ret Maj Gen DC (1947).