Nimeipenda hiiU know what.....
tunaweza kuleta change, tukawa sehemu ya change, change kubwa zaidi, kwa kufanya vitu kivitendo zaidi. Kwenye kudifferentiate, tunazungumzia delta....that small change we can make to turn around the whole big thing...
hili ni mojawapo, na niseme tu kwamba ni idea ambayo tumekuwa nayo muda mrefu, so nawaencourage kwa wale ambao watapenda kwenda wawasiliane na The King kwen PM kwa ajili ya logistic zaidi.
Tupo pamoja sana
hahahahahanakupa firstlady
Unasalimiwa na Diana.....
ha ha ha!uko nae hapo....?if yes just confirm nakupigia mkuu
ee Bwana NN on a serious note hebu cheki na Kiranga kama yupo interested kwenda kushuhudia mambo ya mjengoni LIVE...of course Regia atakuwa M. rasmi...
asante kwa uangalizi huu. double diff pia anakaribishwaHA HA HA!
my dear,
huu ni mkao wa ''ki-rafiki zaidi''
nakuhakikishia tu unaweza kuja na LILIAN,QUEENKAMI NA DIANA wote kwa pamoja provided you can handle them babies
HA HA HA!
my dear,
huu ni mkao wa ''ki-rafiki zaidi''
nakuhakikishia tu unaweza kuja na LILIAN,QUEENKAMI NA DIANA wote kwa pamoja provided you can handle them babies
sasa kaizer naona unataka kuendeleza libe ohooooee Bwana NN on a serious note hebu cheki na Kiranga kama yupo interested kwenda kushuhudia mambo ya mjengoni LIVE...of course Regia atakuwa M. rasmi...
:coffee::coffee::coffee:
Hee! ulikuwa wapi swty hat! siku mingi no see ya!........Huko dodoma kutakuwa hakutoshi hiyo week ijayo, hotel zote zitakuwa nyomi maana waalikwa ni wengi mno.
asante kwa uangalizi huu. double diff pia anakaribishwa
mimi nitakuja ila sina usafiri....mwenye seat ya ziada pleeeez