The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Watu wanajaa ndani bila hata taarifa..kweli sio fresh!!!Ila sasa na wewe hua huleti washkaji kuangalia mpira???
mimi mpira nakwenda bar na washikaji huo huko.
narudi peke yangu......
Watu wanajaa ndani bila hata taarifa..kweli sio fresh!!!Ila sasa na wewe hua huleti washkaji kuangalia mpira???
Lizzy let me be blunt with you ( and no offence intended kwa wanaume wenzangu),umezungumzia distance,fine,ngoja nikwambie,mwanaume yeyote,yeyote hapa i mean any man awe workmate,shemeji,jirani,relative,business partner etc ,ukimjengea mazingira ya kuzoeana kupita kiasi (mambo ya distance hayo) ATAKULALA TU,period!
Kitufe cha senks kimepotelea wapi tena? Mkuu nakuunga mkono kwa sana tu!mimi mwanamke akipeleka mambo yetu ya ndani kwa shosti wake
naweza mpa talaka mara moja.....
kingine i hate most.......
unarudi kazini umechoka.....unakuta nyumba imejaaa watu.....
i really hate this........
unakuta watu wanaangalia filam ya kinegeria hivi au wamejiachia kwenye makochi
na story za umbea......arghhhhhh
mimi nataka nikirudi home nikute honey yupo peke yake
ananukia hivi,msaaafi....nguo nyepesi.....na juice baridi inanisubiri......
get it women....
Lizzy nikwambie ni wachache sana wenye uthubutu wa namna hiyo, watu wanapeana namba kimya kimya wewe haujui ishu ukiisha ishtukia kuwa wanaji-bluetooth hapo ndio unaanza sasa ku-rewind picha hadi unapata jibu movie ilianzaje.Sasa where my LIKE n Thanks at...???Mhhh mbona nlikua sijajua??Ngoja nimpakie vikorokoro vyake....mkisumbuana huko naomba msinihusishe!!
Sasa umeanza kuzeeka kiasi kwamba macho yako hayaoni hebu angalia vizuri bana lol!!!! Hatonisumbua yule the only thing i have to do is to protect him from girls
Hahahahha....kuna watu wana tabia mbaya!!Kumbe ndivyo wanavyoanzaga ehhhh???Ingekua mimi mupenzi akirudi namwambia ''Darling rafikiyo anataka kujua nnapoishi na namba yangu ya simu....utampatia ehhhh?'' Sijui hapo aibu ingemshika kiasi gani!
Well that's good....maana ukirudi nao alafu ukute mupenzi kajivalia kakanga kamoja ndo mwanzo wa washkaji wenye uroho kutaka kukugeuka!
mimi mwanamke akipeleka mambo yetu ya ndani kwa shosti wake
naweza mpa talaka mara moja.....
kingine i hate most.......
unarudi kazini umechoka.....unakuta nyumba imejaaa watu.....
i really hate this........
unakuta watu wanaangalia filam ya kinegeria hivi au wamejiachia kwenye makochi
na story za umbea......arghhhhhh
mimi nataka nikirudi home nikute honey yupo peke yake
ananukia hivi,msaaafi....nguo nyepesi.....na juice baridi inanisubiri......
get it women....
Well that's good....maana ukirudi nao alafu ukute mupenzi kajivalia kakanga kamoja ndo mwanzo wa washkaji wenye uroho kutaka kukugeuka!
Kwa Edo chips tunaenda saa ngapimimi mpira nakwenda bar na washikaji huo huko.
narudi peke yangu......
Hahaha!! Samora kama vile nakuonanakusoma mkuu hasa hapo kwenye red...
Lizzy nikwambie ni wachache sana wenye uthubutu wa namna hiyo, watu wanapeana namba kimya kimya wewe haujui ishu ukiisha ishtukia kuwa wanaji-bluetooth hapo ndio unaanza sasa ku-rewind picha hadi unapata jibu movie ilianzaje.
Kwa Edo chips tunaenda saa ngapi
usually sihofii marafiki.....
but sometimes mambo ya wawili yabaki kuwa ya wawili.....
unaweza kukaa vibaya hivi.au kutamani kutazama tamthilia hivi....
halafu wewe........idea ya khanga moja hiyo lol....napoteza network hapa...
Ahhhh the long lost husband!!
Unayosema kuhusu kutengeneza ukaribu kwa nia ya kufahamiana ni sawa kabisa....tatizo ni kwamba kuna watu hua wanautumia huo ukaribu vibaya kwahiyo inabidi kuwe na njia ya kujiepusha na hayo ''MABAYA''.
Tatizo ndio hapo, tunapenda kuoneana aibu na kutokuambiana ukweliAhhhh miwani sijavaa muda mpaka imepata kutu!!Nimeona lakini!
Hahahahah.....kweli aisee asije akawa LOVER BOI....sitaki matatizo mie!!!
Heheheheh...eti wanajibluututhi!!Hapo sasa ndo maana mahusiano hayadumu....uaminifu hamna kabisa!!!
Hahaha!! Samora kama vile nakuona
Nimekusoma mkuu lolmkuu njoo familly bar....lol