SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu,
Mimi na watu wengine watatu mwaka jana tulianza juhudi za kuanzisha taasisi itakayoitwa Tanzania Friends of Mathematics/Marafiki wa Hisabati Tanzania. Kwa wale ambao watapenda kuwa wanachama waanzilishi wa taasisi hii naomba wanitumie email zao kwa SMS kwenye namba yangu ya simu 0654 467758 ili niweze kuwatumia rasimu ya katiba (ili wachangie katika kuiboresha) na minutes za vikao vya mwanzo. Pia wanaweza kuwasiliana nami kwa email josephatsanda@yahoo.com
Nawasilisha
Josephat S. Sanda
READ & WIN INVESTMENTS
KEREGE, BAGAMOYO
0654 467758
Mimi na watu wengine watatu mwaka jana tulianza juhudi za kuanzisha taasisi itakayoitwa Tanzania Friends of Mathematics/Marafiki wa Hisabati Tanzania. Kwa wale ambao watapenda kuwa wanachama waanzilishi wa taasisi hii naomba wanitumie email zao kwa SMS kwenye namba yangu ya simu 0654 467758 ili niweze kuwatumia rasimu ya katiba (ili wachangie katika kuiboresha) na minutes za vikao vya mwanzo. Pia wanaweza kuwasiliana nami kwa email josephatsanda@yahoo.com
Nawasilisha
Josephat S. Sanda
READ & WIN INVESTMENTS
KEREGE, BAGAMOYO
0654 467758