MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,856
- 6,213
Ukiwa km ndugu, jamaa na rafik yng , napenda kukaribisha kwenye kikao changu cha kwanza kitakachofanyika blue pearl ubungo, plaza 28/10/2012 nahitaji mchango wako wa hali na mali kuniwezesha kujenga nyumba Majohe , maana gharama za kodi hapa mjini zimekuwa juu sana . kufika kwako ndio mafanikio yangu, karibuni sana. USISAHAU KUBEBA GHARAMA ZA UCHAKAVU. :bange::bange: